Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

IMG_1258.jpg

I found a wallpaper for my phone
🐐 🐐 🐐 🐐
❤❤❤❤❤❤❤❤
 
Baada ya Brazil kutolewa, sasa nimehamishia sala na dua zangu kwa Ufaransa. Waarabu, Waislam wa Morocco, Wazungu wa Croatia, na Waajentina; mtanisamehe sana.

Ahueni kwenye kikosi cha Ufaransa kuna Wabantu wenzangu, hata kama hawakuzaliwa Afrika.
 
Back
Top Bottom