Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Utaumbuka binti mrembo.
Kuhakikisha unabaki na urembo wako kama Cleopatra, penda Morocco.

Morocco ndio bingwa wa kombe hili.
Poa tu 😂😂😂 hata likienda kwao haitoniuma
Ila furaha yangu itafika peak kama likienda France

Morocco nilikuww nao tokea wanaanza
Ila kesho 😂😂😂💃
 
Ndoto ya saa hizi mkuu mbona ni mbaya sana? Wenzako juzi waliota wakaja zinduliwa na shangwe za ushindi wa Argentina [emoji1033]
Sasa wewe zinduka mapemaaa
Jiunge na team ushindiii team [emoji238]
Team leo
2014 Messi alimwaga chozi, Hivyo hivyo 2018 Leo pia utashuhudia akitoa mlio wa uchungu kwani ndio world cup yake ya mwisho
 
Poa tu [emoji23][emoji23][emoji23] hata likienda kwao haitoniuma
Ila furaha yangu itafika peak kama likienda France

Morocco nilikuww nao tokea wanaanza
Ila kesho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji126]
Kumbuka Ziyech wa Chelsea yuko Morocco, usiseme sijakuambia.
Morocco ndio bingwa.
 
Unakaa unategemea Morocco amtoe France, Unapoteza muda. Subiri muda ufike mbappe awapelekee moto
Waspaniola walisema hivyohivyo,
Wakaja Wareno wakasema hivyohivyo,
Sasa hivi wazee wa upinde [emoji304] nao wanasema hivyohivyo.
Hakuna mkoloni wala upinde [emoji304] yoyote mwaka huu atakaecheza fainali ya WC.
 
Morocco vs Argentina mshindi wa tatu .
[emoji238]akikaa vibaya atachezea maana Morocco hana cha kupoteza
 
Mnamwona huyu mwanamke

0_75th-Anniversary-Celebration-Screening-Of-The-Innocent-LInnocent-Red-Carpet-The-75th-Annual.jpg


Huyu ndiye muke ya HAKIMI masikini ajiandae kumbembeleza mumewe hapo kesho.
 
Hata serikali ya Qatar na FIFA wanapenda uwepo wa Argentina kwenye haya mashindano maana hiyo kibunda inayokusanywa kwenye mechi za Argentina ni balaa.....

Bila argentina ,world cup ni kama ligi daraja la 4
 
Back
Top Bottom