Huwa nakereka sana kuona mtu anamuita mwingine hater kwasababu ya criticism
Nyinyi mkimkosoa Ronaldo mnakuwa mnajua mpira, sisi tukimkosoa Messi tunakuwa haters???
Sasa angalau ungefanya hata udadisi wa hicho alichokiandika kama kina ukweli wowote kabla ya kufikia kuniita hater
Hujataka kujisumbua kudadisi kwasababu tayari upo katika upande wake anao support
Mashabiki wa Messi sijui mna tatizo gani?
Walau mwenzako amejitokeza kunipinga kwa data (ambapo zipo na data fake kati ya hizo)
We unakuja moja kwa moja kuniita hater, sijapenda kiukweli.