Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Hawa haters uchwara mkuu sio hata wa kuwaelewesha chochote ngj waongee sisi tukiwa tunaukarbia ubingwa..Watu wanatafuta kila sababu ile ya jana ni penalty halali kwasababu kipa hakuucheza mpira alimvaa mchezaji. Ingekua kipa ndo alikua wa kwanza kuucheza isingekua penalty.
Vamoooooooooos [emoji1033]