Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

...ungeweka na chanzo cha hii taarifa kabisa....
 
Most goals:
β—‰ 5 - Messi
β—Ž 5 - MbappΓ©

Most assists:
β—‰ 3 - Messi
β—Ž 3 - Kane
β—Ž 3 - Fernandes
β—Ž 3 - Griezmann

Most shots:
β—‰ 27 - Messi
β—Ž 22 - MbappΓ©

Most chances created:
β—‰ 18 - Messi
β—Ž 17 - Griezmann
 
Ila mechi ya jana Messi amejua kucheza na kutupa raha shabiki zakeeee hadi haters walisalutee.
Ronaldo kitu gani mbele ya Messi...he is nothing
Yan ukiongea ivo haters wanakuangalia kwa jicho baya sana[emoji23].. Wamebakisha team moja ya kuhamia ya matumaini yao ya mwsh kwny final.. Asee wakishindwa na iyo sidhan kuna watu utawaona humu tena.

Anyway mwana Argentina mwenzangu mwendo ni ule ule hatujib hoja nyepes za wachambuz uchwara tutapambana mpk tubebe ndoo.

Vamoooooooooos Albiceleste [emoji1033]
 
Itanibidi niwe mnafiki
Ila nakwambia Argentina kombe anabebaa
Kiwango walichoonyesha jana kimeaminisha dunia.
Yani Messi amerudi mbichiiiiii
Hilo neno mbichii na nikatazama avatar yako limenitoa kwenye soka..😎😎
 
Walitushinda kwa mbindeee..jana Arg walijicheza kwa tahadhari kubwa sana niliwapenda
Hakika na ndo ki2 Brazil sik ile walishindwa.. Kwnz walikubal kucheza mpr Croatia wanaotak na hapo ndo matatz yote yalianzia hapo.
 
Hujaweka na most penalties goal ingekuwa vizuri
 
Hlf anatoka mtu alikotoka huko kashiba makande anaongea upuuz na anabishana kbs na kukaza mishipa.. Mtu huyu ww ukibishana nae ndo utaonekana mwehu.

Mtu yupo kwny kila stats ana perform hlf mtu analeta stry za vijiweni kwny kahawa kwl.

[emoji238][emoji1033]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…