Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

IMG_8031.jpg


Baada ya Saa 6 usiku[emoji1313][emoji1313]
IMG_8027.jpg
 
Dunia haipo fair kabisa, Alvares jana alikua ndio Man of the Night wa timu, Cha ajabu hata kzuzungmzwa hazungumzwi.
Messi ni most overrated player ever. Nashindwa kuamini kabisa kuwa yeye ndie alitangzwa Man of The Match badala ya Alvarez .
 
Dunia haipo fair kabisa, Alvares jana alikua ndio Man of the Night wa timu, Cha ajabu hata kzuzungmzwa hazungumzwi.
Messi ni most overrated player ever. Nashindwa kuamini kabisa kuwa yeye ndie alitangzwa Man of The Match badala ya Alvarez .

Ukiacha kufunga alvarez kafanya nini? MOTM wanangalia statistics zote sio kufunga tu.
 
Dunia haipo fair kabisa, Alvares jana alikua ndio Man of the Night wa timu, Cha ajabu hata kzuzungmzwa hazungumzwi.
Messi ni most overrated player ever. Nashindwa kuamini kabisa kuwa yeye ndie alitangzwa Man of The Match badala ya Alvarez .
Ulikuwa unafatilia mpira kwa livescore?
 
Team Messi huwa mnanichosha hapo tu, hamuwezi sheherekea vitu vyenu kimya kimya mpaka msumbue watu waliolala zao..!!😔😔😔
Depal and Fohadi nina neno nanyi ndugu zangu...!!
Raha ya pilai nyumba ya kupanga jirani alisikie likinukia

Sema nakuheshimu tu 😀
 
Dunia haipo fair kabisa, Alvares jana alikua ndio Man of the Night wa timu, Cha ajabu hata kzuzungmzwa hazungumzwi.
Messi ni most overrated player ever. Nashindwa kuamini kabisa kuwa yeye ndie alitangzwa Man of The Match badala ya Alvarez .
We hukuona alichofanya eeh
 
Nawaombea France wapite leo dhidi ya Morocco kwa sababu kuu mbili:

- Morocco wanacheza mpira wa kihuni unaofanana na wa Argentina. Morali yao ni kubwa sana, tukikutana fainali itakua mechi ngumu zaidi. Ufaransa wanacheza soft ball, na tayari kwa Argentina hii soft ball imeprove failure.

Morocco wancheza sana aerial balls, na wako na average height kubwa kuwazidi Argentina. Hilo linaweza kua tatizo kwa Albiceleste. Ila wafaransa wanategemea zaidi mbio, kitu ambacho sioni kikiwasaidia kwa Argentina. Unakimbia vipi na mpira wakati kila baada ya hatua tatu, wahuni wanatandika reli?

- Sababu ya pili, ni kwaajili ya haters wa Argentina. Ufaransa ndio kichaka chao cha mwisho kilichobakia. Walijifcha kwa Australia tukawakurupusha. Wakakimbilia kwa uholanzi, tukawatimua. Wakaingia kichaka cha Croatia, tukakitia moto. Sasa wamekimbilia France. Inabidi wafuzu hao France ili tumalizie kazi yetu.

Wakifuzu Morocco alafu tukawapiga, hawa wapuuzi wa humu watasema Morocco ni wadhaifu. Acha aje huyo mbabe wao ili wakose kisingizio!


NB: kama hautaki Argentina wafunge magoli ya penati, waambie wachezaji wa team lako wacheze kwa adabu na akili. Wakitumia miguvu bila akili, sisi tutapiga tu hizo penati hata tukipewa saba kwenye mechi moja.

Na kama unadhani kufunga kwa penati ni rahisi, muulize Mbappe kilichomkuta kwenye Euros. Waulize mabishoo wako wa Brazil, na umuulize Harry Kane!
[emoji3] "kutandika reli".
 
Back
Top Bottom