whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Wekeni za leo zitakazorushwa na tbc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cameron inautulivu kwa sababu ya etoo yupo km kiongozi
Ila bahati mbaya kwao wanakikosi cha kawaida na wapo kundi gumu
| USA | $822,000 | Shilingi 1,916,904,000 |
|---|---|---|
| Denmark | $688,000 | Shilingi 1,604,416,000 |
| Australia | $680,000 | Shilingi 1,585,760,000 |
| Germany | $415,000 | Shilingi 967,780,000 |
| South Korea | $390,000 | Shilingi 909,480,000 |
Mechi za leo naweza kuzikosa zote
Nimecheza sana watchdogs 2pole mkuu, vipi upo kwenye mambo yetu yale ya watchdogs [emoji848]??
Hao ni ma real Negro 🤣
Tanzania tuna weusi wa mchongo
naam naam pamoja mkuuNimecheza sana watchdogs 2
watapigwa kama ngoma, wamuulize muiran alichofanywa na mkoloni!Sasa sii unajua tena wachezaji wote sii wa ulaya ulaya....senegal timu nzima ulaya. Huku waziri wetu anataka kutupa matumaini eti tutaenda world cup kwa wachezaji wa simba na yanga
Wee bwana tuache siasa sii hatuwezi fika world cup. Chan tuu hapo shida tupuwatapigwa kama ngoma, wamuulize muiran alichofanywa na mkoloni!
Leo zamu ya Messi kubeba
Waarabu na Waafrika hawatavuka makundiWanangu wa Saudi Arabia tujuane mapema
Tunaomba Messi awepo tutaipiga hao watu wafupi virikuu mpka Messi astaafu mpira Leo Leo [emoji1210][emoji1210][emoji1210]
Sawa timu Argentina maana na nyiny mnambwebwe mim nasubur mechi yenu na mexico tuArgentina inacheza leo na Dunia nzima ina furaha
France vs AustraliaWekeni za leo zitakazorushwa na tbc
Tizama kwa hii chat hizo zenye FTA,kwa leo TBC wataonyesha hiyo ya France Vs Australia saa nne usiku.Wekeni za leo zitakazorushwa na tbc
Mpe denmark, tunisia weupe tuuSasa jaman mm nataka kubeti
DERNMARK VS TUNISIA
nimpe nani??