Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Hamna mchezaji wa level za Ronaldo anaweza kuchukia mafanikio ya mwenzie kisa atamzidi rekodi. Leta chanzo cha habari kilicho mripoti anaongea hivo. Hizo mentality wanazo kina Mrisho Ngasa na kina Shabalala wa Simba
Sio kuchukia ni competition...
Kasome kitu kinaitwa father of fallacy all fallacy
 
320224066_878506923275798_4353758792427112686_n.jpg
 
Argentina wakichukua kombe
 

Attachments

  • 1671197718662.png
    1671197718662.png
    120.2 KB · Views: 4
Hapa nakumbuka ndio ule muda nikauliza waminyaji wenzangu mbona nguvu yenu siioni. Ilikuwa ni moja ya shambulizi la hatari sana ambalo hata kwa muda huu Morrocco wakiliangalia wanabaki kujutia
319853519_947562342884720_1492148659861374573_n.jpg
 
Record gani hajavunja tofauti na hiyo
Uwa unaangalia mpira kweli au ndio unataka tubishane tu na Anza nani top score wa kombe la Dunia wakati wote ukijibu Hilo njoo ujibu nani top score wa champions league had Sasa nani top score mwenyewe magoli mengi Kwa timu za taifa ukijibu Hilo nakuliza tena nani mfungaji wenyewe Goli nyingi kweny champions league at one season ukimaliza kujibu sema nikuletee mengine
 
Uwa unaangalia mpira kweli au ndio unataka tubishane tu na Anza nani top score wa kombe la Dunia wakati wote ukijibu Hilo njoo ujibu nani top score wa champions league had Sasa nani top score mwenyewe magoli mengi Kwa timu za taifa ukijibu Hilo nakuliza tena nani mfungaji wenyewe Goli nyingi kweny champions league at one season ukimaliza kujibu sema nikuletee mengine
Kwako wewe goat ni yupi kati ya hao?..tuanzie hapo kwanza
 
Uwa unaangalia mpira kweli au ndio unataka tubishane tu na Anza nani top score wa kombe la Dunia wakati wote ukijibu Hilo njoo ujibu nani top score wa champions league had Sasa nani top score mwenyewe magoli mengi Kwa timu za taifa ukijibu Hilo nakuliza tena nani mfungaji wenyewe Goli nyingi kweny champions league at one season ukimaliza kujibu sema nikuletee mengine
Kwa upande wako nani unamuona hapo kwenye list
 
Back
Top Bottom