Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kwani nini maana ya GOAT?Wote bora kwa muda wao huo muda wote wanachezea wapi wakati sheria na taratibu zingine ni mpya? 😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nini maana ya GOAT?Wote bora kwa muda wao huo muda wote wanachezea wapi wakati sheria na taratibu zingine ni mpya? 😀😀😀
Yap ni kawaida kwa vijana, hiyo huwezi ukaikuta kwa wazee wenye 35&37Huyu Mbape naona damu inachemka muda wote
Najua... ila nimejibu kulingana na nionavyo mimi ndo maana nimecheka.Kwani nini maana ya GOAT?
Kwahyo uzee siku hizi ni miaka 35&37? Au mzee kisoka...Yap ni kawaida kwa vijana, hiyo huwezi ukaikuta kwa wazee wenye 35&37
Sio kwamba damu yako ndiyo inachemka muda wote.Huyu Mbape naona damu inachemka muda wote
Unataka mpaka tufikie huku?Kwahyo uzee siku hizi ni miaka 35&37? Au mzee kisoka...
Sema sasa kumbe uzee ni wa kisoka...sasa 37 uraiani kuna njemba ndo kwaaanza hata kuoa hawajaoa na ndo wana luk gud sasa.Unataka mpaka tufikie huku?
![]()
Kwanini?? Why ugeuze swali langu??Sio kwamba damu yako ndiyo inachemka muda wote.
Hata huku JF mkishindwana kwenye hoja kidogo utaskia "ngoja shule zifunguliwe watoto mrudi shuleni"Sema sasa kumbe uzee ni wa kisoka...sasa 37 uraiani kuna njemba ndo kwaaanza hata kuoa hawajaoa na ndo wana luk gud sasa.
Ronaldo anambembeleza K Mbape acheze jumapili kwa tahadhari...anamwambia mkitangulia tuu kufunga mpaki bus hakikisha yule mtu mfupi haondoki na kombe kwenda kwaoLike F like S
![]()
Mpaka hapo ni peleYupi ni bora wa muda wote?
![]()