Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Duh,bt kamoyo kananambia inaweza kua surprise hawatak kusema
 
Tushabikie Argentina kamanda, chama kubwa
Sema kamanda bado nawiwa sana kuipa support Furance ..unajua ukilicheki Chama langu Colombia na Furance mupira wao ni wakibabe babe sana. Mupira wao ni mtu kazi yani hamuna kuremba remba so naona kabaisa kuiweka Ajentina mbele ni kama nalisaliti chama langu Colombia πŸ₯΄πŸ₯΄πŸ₯΄
 
Aise chaliiyangu unajua mupira ukishabikiwa na mamsi mkali kaa wewe inaleta andasi kinoma unaeza jikuta unashangilia goli ata kaa alijafungwa. Semaa unafeli sehemu moko tu ..kuishabikia Livakuku.πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜€
 
Captain Marvelous I'm missing you Bobby.
Come on,tuenjoy fainali hapa pamoja.


[emoji1073][emoji1073][emoji1073][emoji1073][emoji91][emoji91]

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Miss Liverpool salama... Fainali naona unasimama na Ufaransa.... Mwenzio nipo upande wa pili nasimama na GOAT wa ukweee kapteni namba 10.

YNWA
 
Oi oi oi oi oi oi oi oi oi oi oi oi
2 days remaining to the big day
Pale meza itakapo pinduliwa na historia kuandikwa.....
Messi na πŸ‡¦πŸ‡· wakitwaa kombe mbele ya macho ya watu
Haters gonna be belivers
Wait and watch them win
Ouwdaaa ivi unapatikana apii wee mudada?!πŸ’›πŸ™ƒπŸ™ƒ
 
Huyo jamaa tangu afukuzwe kambini Afrika kusini amebakia na gundu kwenye timu ya taifa. Sitegemei Deschamps ampange huyu mechi ya mwisho wakati hajacheza hata moja.
 
Aise chaliiyangu unajua mupira ukishabikiwa na mamsi mkali kaa wewe inaleta andasi kinoma unaeza jikuta unashangilia goli ata kaa alijafungwa. Semaa unafeli sehemu moko tu ..kuishabikia Livakuku.πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜€
Liverpool chama kubwa weweeπŸ˜ƒ
Tunamchukua yule dogo Bellingham
Subiri uone moto wakeπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…