BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Sasa mbona Maximo alitaka kutuzuga eti atatupa world cup na kipa wake wa taifa stars aliekuwa anavaa jezi ya newcastle tena kwenye mechi officialTimu zote zilizotwaa ubingwa wa kombe la dunia zilikuwa na makocha wazawa.