Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Brazil alitwaa ubingwa mwaka 1958 michuano iliyofata mwaka 1962 akaenda kutetea ubingwa na kushinda tena. Tokea hapo hakuna tena bingwa aliyeweza kutetea ubingwa wake
Oooh hapo sawa,hakuna anaetufikia btw we have 5 stars[emoji1054][emoji1054][emoji1054]

Am praying for france aongeze ya 3[emoji1073][emoji1073][emoji1073]
 
Ninasikia hata Ghana wanatoa hela ili uitwe timu ya Taifa.Cameroun pia hata safari hii kuna
Tumekusikia. Mbappe nae ule upande atatupa penalt.
 
Kesho baada ya kutoka kanisani tuu, natafuta chimbo zuri la kucheki Fainal.

Kwahyi baada ya kutoka ibadani jambo ni moja tu Fainali.

Nyumbani natarajia kurudi keshokutwa.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Cc: Depal
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ naangalia home
Nakuwa Live kwenye huu uzi

Ndo kama kutakuwa kunakulia, nililie ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…