BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Jamii gani haina ubaguzi dunia hii?Mbona Croatia hawana mtu mweusi bana. Kutikua na mtu mweusi sio shida sana.
All in all hawa Waargentina wana ubaguzi wa rangi ukifatilia historia utafahamu
Hata majangili ya ujerumani wa NAZI walikwenda kujificha huko Argentina
Hata Hitler mwenyewe kuna tetesi alikimbilia huko
Ubaya ni kwamba wakati France anachukua ndoo 2018 kulikua hamna damu mpya ambazo sasa hivi zipo,Wachezaji kama Tchoumeni,Upmecano,Kounde,Rabiot,kolo wanatamani wachukue ubingwa ambao kwa percent kubwa wao wamechangia.France angekuwa hajabeba World Cup hivi karibuni ningesema Game ya leo anaweza akambania Argentina asibebe.
Mbape amenyanyua kwapa kubeba hili kombe 2018 pamoja na wenzie, wao pia ni wanadamu. Hawawezi kukaza mshipa kumbania Messi akiyepambana ktk carrier yake kwa zaidi ya miaka 18 pasipo World Cup.
Hii ni nukuu kwa hisani ya Aleyn iwafikie Wafaransa weusi wote..kina
ukikaidi utapigwa2 United ya Ferguson
Scars NAJYUZ
Tukulize wew bahati ndio kitu Gani kocha kaenda final ya euro 2016 pale France kaenda kubeba kombe la Dunia 2018 pale Russia kaenda final ya kombe la Dunia mwaka 2022 wew unatuleta utopolo wako apa twambie wew awo makocha wako wasio na bahati ila wanauwezo wamebeba kitu GaniDidie deschamps kocha mwenye uwezo mdogo na bahati,uglyfootball...Ufaransa inakizazi cha wachezaji wenye vipaji na wazuri.
Zote zinazo ila kuna zilizo zidiJamii gani haina ubaguzi dunia hii?
Wengi pia walienda USA na ndo waasisi wa NASA.. Sio issue maana haihusiani na mpiraHata majangili ya ujerumani wa NAZI walikwenda kujificha huko Argentina
Sawa mkuu tuma salam kwa wahutu na watutsi watano unao wafahamZote zinazo ila kuna zilizo zidi
Ni kama uhalifu
Kuna kibaka mporaji na jambazi na jambazi sugu
Kwenye ubaguzi kule south america waargentina wamezidi...japo kila jamii ina ubaguzi
2014 alishindwa kuthibitisha kwa Ujerumani ko tuwe na akiba ya maneno.Messi leo atathibitisha yeye kuwa GOAT.. na hakuna atakekuja kama yeye labda miaka 700 mbeleni..
ni kweli lakini wale majangili hasa ndo naongeleaWengi pia walienda USA na ndo waasisi wa NASA.. Sio issue maana haihusiani na mpira
Nimeandika mambo manne, uwezo mdogo/average coach didier,Bahati,Ugly football na era ya vipaji ufaransa.Fainali 3 kashinda 2...hii ni ya nne sasa
Na nusu fainali ya Euro
Zote hizo ni bahati mkuu?
Mimi ni shabiki mkubwa wa king Leon Messi.Naona misukule ya Christiano Ronaldo imevamia uzi. Mtakimbia wakati Messi anabeba kombe usiku wa leo.
Katika hayo manneNimeandika mambo manne, uwezo mdogo/average coach dider,Bahati,Ugly football na era ya vipaji ufaransa.
Kwa nn mkuuMimi ni shabiki mkubwa wa king Leon Messi.
Ila sioni leo hawa Argentina wakitoka.
Kama wakiingia na 'scenario' yao ya all balls to Messi huenda mechi ikaisha kwenye half ya kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
2018 jukumu alilibeba Ngolo Kante na plan ikalipa.Kwa nn mkuu
Hivi Varane ataeza kumkaba mbuzi?
Sidhani kama umewahi kuwaona Argentina wakicheza. Ni timu bora zaidi kwa sasa hapa duniani na haimtegemei mchezaji mmoja.Mimi ni shabiki mkubwa wa king Leon Messi.
Ila sioni leo hawa Argentina wakitoka.
Kama wakiingia na 'scenario' yao ya all balls to Messi huenda mechi ikaisha kwenye half ya kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
"We are the dreamers"Wakuu hivi WC ya mwaka huu haina official theme song?
Wakuu hivi WC ya mwaka huu haina official theme song?
Bila cross kwa giroud watapata tabu sana kuwafunga argentina2018 jukumu alilibeba Ngolo Kante na plan ikalipa.
Huenda leo bwana mdogo Tchoumeni akalibeba hilo jukumu.
Ila wasiwasi upo pale ambapo kuwadhibiti France wasipate goli.
Sent using Jamii Forums mobile app