reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,813
- 21,807
Tupo safarini, kumeibuka bonge ya mjadala,
Kuna abiria tunaotaka tukifika sehem flan gari isimame watu wangalie mechi,
kuna wengine wanasema dereva avute wese tukaangalie kipindi cha pili tukiwa tumefika, na wengine wanasema hamna cha kusimama wala kukimbiza gari, eti "tukifa?" watu wamemaindi, eti mzee mzima unaogopa kufa..? Na ndio mbishi gari zima.
Watu tunapendekeza kura zipigwe, japo wengine bado nalo ni mzozo.
Subirini mrejesho.
BTW mimi Bora nilale njiani, mechi lazima niione.
Kuna abiria tunaotaka tukifika sehem flan gari isimame watu wangalie mechi,
kuna wengine wanasema dereva avute wese tukaangalie kipindi cha pili tukiwa tumefika, na wengine wanasema hamna cha kusimama wala kukimbiza gari, eti "tukifa?" watu wamemaindi, eti mzee mzima unaogopa kufa..? Na ndio mbishi gari zima.
Watu tunapendekeza kura zipigwe, japo wengine bado nalo ni mzozo.
Subirini mrejesho.
BTW mimi Bora nilale njiani, mechi lazima niione.