Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Kuna wazee wapo kuganga mechi TBC wanasema ...Messi atakapowea pasi ya kwanza kuna watu wawili watakuwa tayari pale na kila mmoja ana kazi yake, mmojawapo ni Bizman, huyu anafanya kazi kubwa ya kumuandalia mazingira Messi ili aweze kupenya...🤣
 
Hii
IMG_20221218_174429.jpg
IMG_20221218_174427.jpg
 
Huyu ni mchambuzi mahili wa mipira ya kimataifa....yupo hapo TBC1 usimchukulie poa. Mara nyingi alikuwa akibet anakula mechi nyingi tu hadi wahindi wanamkimbia...

Tuliza tako hapo , ujue nani anapigwa leo
Yap na wa muda mrefu
Ana udambwi dambwi mwingi nae kwenye uchambuzi nadhan hata wachambuzi wa hivi karibun kuna vitu wameiga kutoka kwake
Utamsikia ndugu mtazamaji ujue tu kuwa huu uwanja kabla ya kujengwa hiyo sehemu ilikuwa kilabu cha pombe bla bla blah 😆
 
Back
Top Bottom