Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Hata usipobeba kombe, kwangu mimi wewe ni mchezahi bora zaidi kuwahi kutokea katika uso wa duniaView attachment 2451017
Huna lolote! Utabiri umeenda kombo kwanza wamebebwabebwa tu mpaka kufika hapo watu wanacheza rafu kama wamerogwa bana! Ngoja uone mchezaji wako bora anajinyea hadharani leo! Mbappe kamlipia Kisasi Idol wake RONALDO! kwa sababu ureno ilitolewa kwa fitna
 
Unaongea kwa chuki kubwa...kunywa maji mengi sana
 
Emi yuko vizuri kwenye matuta, wakifikia huko France ndio basi tena.
 
Hahahaha saivi bifu la na messi, saivi ronaldo amemwachia mdogo ake mbappe maana yeye hana upepo tena[emoji23][emoji23]
Mtaleta ukoo wenu mzima
 
"At first l wanted my son to play for Cameroon but, someone at the Cameroon Football Federation charged a sum of money that l didn't have to make him play. The French didn't charge anything" -Kylian Mbappe's father
 
Wafaransa mmeenda wapi tena, mbona mmekimbia mapema sana?
Kelele zimewaisha eeh? Tuliwaambia hakuna wa kumzuia Messi wala Argentina... Habari mnayo...
Kwa taarifa tu Argentina tuna raha sana 😍😍😍😍😍
Tupo tulikuwa sub. Umemwona pogba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…