Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Huna lolote! Utabiri umeenda kombo kwanza wamebebwabebwa tu mpaka kufika hapo watu wanacheza rafu kama wamerogwa bana! Ngoja uone mchezaji wako bora anajinyea hadharani leo! Mbappe kamlipia Kisasi Idol wake RONALDO! kwa sababu ureno ilitolewa kwa fitnaHata usipobeba kombe, kwangu mimi wewe ni mchezahi bora zaidi kuwahi kutokea katika uso wa duniaView attachment 2451017
π€£π€£π€£Raha sana,kumbe mlikua mnafaid hiv na hamsem.
Kuanzia leo mm na mpira dam dam,japo kuna heartbreaks za kutosha
Kocha kajua game imeshaishaArgentina wamekosea sn kumtoa di maria, alikua n kila kitu leo. Hpo ndo wamewapa nfs france, ikitokea wamefungwa leo wamlaumu kocha na sub zake
Sanaaaa km ile mech ya bayern na psg alivyobadili mchezoComan ndiyo kabadili mchezo. Kacheza vizuri mno
Unaongea kwa chuki kubwa...kunywa maji mengi sanaHuna lolote! Utabiri umeenda kombo kwanza wamebebwabebwa tu mpaka kufika hapo watu wanacheza rafu kama wamerogwa bana! Ngoja uone mchezaji wako bora anajinyea hadharani leo! Mbappe kamlipia Kisasi Idol wake RONALDO! kwa sababu ureno ilitolewa kwa fitna
Karibu sana EPLRaha sana,kumbe mlikua mnafaid hiv na hamsem.
Kuanzia leo mm na mpira dam dam,japo kuna heartbreaks za kutosha
Haswa, na kipa wa Argentina ni mzuri mnoTukienda penati hawa Ufaransa wanaweza kukosa zote...watu weusi hawana historia nzuri kwenye matuta
Hahahaha saivi bifu la na messi, saivi ronaldo amemwachia mdogo ake mbappe maana yeye hana upepo tena[emoji23][emoji23]Huna lolote! Utabiri umeenda kombo kwanza wamebebwabebwa tu mpaka kufika hapo watu wanacheza rafu kama wamerogwa bana! Ngoja uone mchezaji wako bora anajinyea hadharani leo! Mbappe kamlipia Kisasi Idol wake RONALDO! kwa sababu ureno ilitolewa kwa fitna
Na hapo ndiyo watajua kama wao ni waafrica sio wafaransaTukienda penati hawa Ufaransa wanaweza kukosa zote...watu weusi hawana historia nzuri kwenye matuta
Tupo tulikuwa sub. Umemwona pogbaWafaransa mmeenda wapi tena, mbona mmekimbia mapema sana?
Kelele zimewaisha eeh? Tuliwaambia hakuna wa kumzuia Messi wala Argentina... Habari mnayo...
Kwa taarifa tu Argentina tuna raha sana πππππ
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siamini kama mbappe anafanya nikose mbususu mimi
View attachment 2451011
Mtanyweshwa maji nyie na mtoto mdogo wa miaka 22 "KYLIAN MBAPE" tena sio maji... anawanyweshwa manii LOL!Unaongea kwa chuki kubwa...kunywa maji mengi sana