nilikuwa nimebinya mambupu hawa kina Messi kidogo wanitoe roho yangu π€€π€€π€€ππππ ilibidi nizime TV nikatoka out na jf
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£nilikuwa nimebinya mambupu hawa kina Messi kidogo wanitoe roho yangu π€€π€€π€€ππππ ilibidi nizime TV nikatoka out na jf
Ndio mkuuKwahio Mbappe ana goal 8 si ndio?
Mkuu pale kila mchezaji anatoa tears of joy dah hii game ina hadhi ya nyota tano[emoji28]Fainali tamu sana, yani piga nipige [emoji16][emoji16] mpaka wachezaji wanalia
Naomba NAMBAza simu za lulu[emoji2]Mbappe heko.
ππππ kina Messi wamenitenda sana, tumeshinda kla dah.. nikajuta kushabikiaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Much respect to Mbappe. Dogo yuko na potential kubwa sana ya kufanya makubwa. Anatakiwa tu kufanya maamuzi magumu atoke pale PSG. Akicheza pale Madrid, kuna uwezekano mkubwa akafikia records za hawa legends.Kiukweli mkuu niwe muwazi niliiondoka dakika ya 37 baada ya Di Maria kufunga bao la pili, maana huko kibanda umiza nilikuwa nazodolewa mpaka nikawa nakosa amani
Kelele za mashabiki vibanda umiza baada ya Mbappe kusawazisha ndio zilizoniamsha ikabidi niucheki tu kwenye TBC.
Aisee mpira nimeangalia kwa dakika ya 80 nimeshangaaa sana yani kiukweli hii ndio mechi yenye hadhi ya fainali.
Moyo wangu umekuwa mweupe yale makasiriko niliyoyapata baada ya kuona tunaongozwa yashayeyuka.
Siwezi kuacha kumsifia Messi jinsi alivyokuwa anashuka hadi chini kuzuia mashambulizi na kwa juhudi zake hususani katika bao la tatu, ila Mbappe ni kiumbe kingine.
Hongereni Argentina mmechukua kombe kihalali japo mapito yenu yalikuwa yana sintofahamu nyingi ila by now mmestahili.
ila Naangalia hapa watu wapo serious uwanja umependezaa na haya mataaa π π π mbele ni mbele tuπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Wanaomkubali Maradona kuliko Messi wengi ni wazee wa 60+Unaambiwa Argentina huwambii kitu kuhusu Maradona ndyo maana Argentina hakuna sanamu la Messi
Brazil 5
Germany 4
Italy 4
Mimi ikifikiaga matuta siangaliiiiii ...presha inakuaa juuu naweza jikojoleaaa kwa wasiwasi ππππ€£ππππ kina Messi wamenitenda sana, tumeshinda kla dah.. nikajuta kushabikia
Asante mkuu kwa kunisahihisha. Niliweka vice versa hahaMfingaji bora ni mbappe to correct you. Nafikiri na uchezaji bora
Poleni hamkusali ipasavyo. Mungu huangalia rohoni zaidi.Acheni hizo
Unataka kusema Mungu wa Ufaransa ye hasikii ama
π€£π€£π€£π€£