Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

SCARS kimbia ujionee hapa, Tukayaita Argentina mbeleko FC yanakataa, VAR ni ujinga tupu wala hauna maamuzi yoyote kwa mpango wao wa FIFA [emoji23]

Ndiyomaana Muamuzi wa pembeni alionesha kibendera lakini Refa akajizima data [emoji28]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
ni kweli ila ukishaenda penalty ndo basi tena
 
1671387782964.jpg
 
Back
Top Bottom