Una matatizo binafsi eeh'..??ππNikulambe blue tick na hapa?
Kalale
Offside ya nni mkono ahusiki uoni ilitolewa tuta kwajili ya mkono kugusa mpira
Jamani, ndo mmehamia huku ghafla hivyo. Msiwe hivyo bana tumekubaliana mchezaji bora ni cr7Unaambiwa Argentina huwambii kitu kuhusu Maradona ndyo maana Argentina hakuna sanamu la Messi
Brazil 5
Germany 4
Italy 4
argentina 1st half wamekosa magoli mengi pia, au umesahau.... and thats footballUfaransa wajilaumu maana Kolamuone kakosa goli la bure kabisa licha juhudi za Mbape na Goal keeper wao
Mbona nyie kwenu inakuwa simple kusema Ronaldo kazidiwa na Messi bila kuzingatia amezungukwa na kikosi cha namna gani?Hana UA alien wowote,sema amezungukwa na kikosi kizuri.Messi is kikosi cha Argentina cha kawaida lakini amekibeba
Una matatizo binafsi eeh'..??ππNikulambe blue tick na hapa?
Kalale
ila hatimae Messi kachukua world cup mwaka umeisha vizuri kabisa .. naraha hapa kama zote..Mimi ikifukiaga matuta siangaliiiiii ...presha inakuaa juuu naweza jikojoleaaa kwa wasiwasi ππππ€£
Em angalia mishono ya suti hapoUna matatizo binafsi eeh'..??ππ
SCARS kimbia ujionee hapa, Tukayaita Argentina mbeleko FC yanakataa, VAR ni ujinga tupu wala hauna maamuzi yoyote kwa mpango wao wa FIFA [emoji23]
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Disfrutemos juntos por comer cabras de Argentina!!
Leo ningekua karibu, ningepata kisa cha kimasikhara!Mungu ni mwema amempatia Messi kama wengi walivyoomba.
ila hana kombeeeeeee........kimbia yote ile kombe kakosaaa....poor him.Moja ya finali nzuri sana
Mbappe ni allien wa soka
Unaposema Messi amezungukwa na kikosi cha kawaida una maanisha nin?Hana UA alien wowote,sema amezungukwa na kikosi kizuri.Messi is kikosi cha Argentina cha kawaida lakini amekibeba