Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Taahira humjua Taahira mwenziye [emoji28]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Yaani kitoto kile hata UEFA hakina ndo akwe tegemezi au mchezaji Bora wa mashindano😂😂😂.

Pale ukiachana na kukimbia sana hamna mchezaji ..Ile 2018 ni uzamni wa malegend kibao ndo kachukua ila kwa kupewa timu bado mshamba hawezi kubeba.
 
Chuki zitakuua kunywa maji mengi moyo ueleee utakufa kwa stress. Nyie ndo mlikua mnasema Argentina anatoka kwenye makundi. Mbappe hata level za Ronaldo hajafika ndo mmfananishe na Messi?? Nyie watu mna akili kweli??
Ukinywa maji wewe inatosha wengine huwa tunakunywa asali [emoji1732][emoji16]

Pia tusilazimishane kupenda kitu kimoja kamwe haiwezekani maana Watu tuko B 8 kasoro M 200 duniani [emoji847]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
[emoji3590][emoji3590][emoji3590]
IMG_1567.jpg
 
Tatizo Mbappe ni ngozi nyeusi ila laiti angekuwa na ngozi ile kwa jinsi Miss penati alivyo na kashazeeka, huweziamini mpango wa kubebwa bebwa kama Miss ungeshaanza zamani sana tu ili awe mrithi wa Miss Penati.

Miss penati kalalamikiwa tuzo zote za balloon D'O 2010 na 2020 ambazo ingebidi wabebe Iniesta na Lewandosky.

Mchezaji yupi tofauti na Miss penati aliwahi kulalamikiwa kupewa tuzo ya bure zaidi ya Miss penati pekee [emoji848][emoji16]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Na kitoto chenu kimepewa penati 2 leo, muongee tena. 😁😁😁
 
Back
Top Bottom