namshukuru Mungu ameweka karama ya kuomba ndani yangu sema tu shetani analijua hilo kwahyo anahakikisha siifanyiii kazi.We mdada kuanzia leo Mimi nakusimika unabii utake usitake ushakua nabii ..
Kiatu cha dhahabu kileee [emoji117] 7 goals with 5 fantastic goals but not the same as Miss penati goals 5King Mbappe is the First hat trick winner in the world cup [emoji123][emoji3059]View attachment 2451169View attachment 2451172
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hayo ni makasiriko..maisha ni haya haya.Kombe la Dunia limeleta marafiki na familia karibu sana.Kipepe anawauliza huko tweeter
Okeee Messi kashinda
Haya acc yako imeongezeka sh ngapi?
Haha nachekaaa
Ila hobbies zimeshimiwe tu
Tunapata furaha za ushindi na hatuingizi hata mia mbovu βkwa tusiobet
Alamsiki thread!
Heeeh kumbe kubeba makombe ya dunia mara tatu ndo unaitwa The greatest footballer of all time π€ͺπ€ͺπ€ͺHongera Argentina na Messi kwa kutwaa kombe la dunia kwa mara ya tatu ila Pele bado atabaki the greatest footballer of the all time kwa kutwaa taji hilo mara tatu kitu ambacho wachezaji wengi wameshindwa.
wangeshinda wao wangeongeza nini?? shenzitypeeeKipepe anawauliza huko tweeter
Okeee Messi kashinda
Haya acc yako imeongezeka sh ngapi?
Haha nachekaaa
Ila hobbies ziheshimiwe tu
Tunapata furaha za ushindi na hatuingizi hata mia mbovu βkwa tusiobet
Alamsiki thread!
hahahahahah huu mpira ulikuwa na amsha amshaaKuna mwana huku mtaani kwenye banda umiza kamwagia maji kwenye TV ikazima halafu hawajamsanukia ni nani
Naomba yenye action ambayo hadi kuishaa mtazamaji unashusha pumzi ndefuuuAnza na hii, yamoto balaaa
View attachment 2451032
Dada watu wanavuja jasho unasema bahati...Kweli Kombe la Dunia haliji mkononi kiuwepesi mpira wa leo ulikua mgumu sanaaa...ila bahati imeamua kuwa upande wa Argentinaa... na hii ndo inaitwa Destiny ya mtu hupangwa na Mungu.
Hamna alichokosa katika ulimwengu huu wa mpira.View attachment 2451153
Hatwareeeee
Sifa ni kwa Argentina na Messi. MUNGU hana roho mbaya hivyo aingilie ugomvi usiomuhusu. Kwani waliotolewa ni wadhambi sana? Kombe la dunia sio mbingu kuwa watakatifu tu ndo watalibeba π πnamshukuru Mungu ameweka karama ya kuomba ndani yangu sema tu shetani analijua hilo kwahyo anahakikisha siifanyiii kazi.
sifa ni kwa Mungu.
Hana furaha yaani unashabikia katoto .πππKing Mbappe is the First hat trick winner in the world cup [emoji123][emoji3059]View attachment 2451169View attachment 2451172
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Messi ni wa pili baada ya cr 7?Mademu wengi ni cr7 kama ulikua hujui
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dada mie mpira sitaki tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
mkafie mbeleee................Messi hata akitaka kustaafu kesho, We are ready manKiatu cha dhahabu kileee [emoji117] 7 goals with 5 fantastic goals but not the same as Miss penati goals 5
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Bahati ilikuwa kwa france, penalty 2 na ya 2 ilikuwa na walakin. Kuhusu kupiga matuta Argentina ni mafundi.Kweli Kombe la Dunia haliji mkononi kiuwepesi mpira wa leo ulikua mgumu sanaaa...ila bahati imeamua kuwa upande wa Argentinaa... na hii ndo inaitwa Destiny ya mtu hupangwa na Mungu.
Red Babe...Tujipongeze red or white wine kidogo
Bahati ilikuwa kwa france, penalty 2 na ya 2 ilikuwa na walakin. Kuhusu kupiga matuta Argentina ni mafundi.Kweli Kombe la Dunia haliji mkononi kiuwepesi mpira wa leo ulikua mgumu sanaaa...ila bahati imeamua kuwa upande wa Argentinaa... na hii ndo inaitwa Destiny ya mtu hupangwa na Mungu.