SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Wanaangalia achievements.Kwa hyo wanaangalia final tu?
Kwenye kombe hili la Dunia hakuna kipa aliyefikia mafanikio ya Martinez.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaangalia achievements.Kwa hyo wanaangalia final tu?
Unakitaka?Vp mkuu sioni tena kifaransa
Ni jasho na bahatiDada watu wanavuja jasho unasema bahati...
Kwakweli sherehe ya ushindi huwezi fananaisha na wa majonzi. Kwanza wanaweza jikuta badala ya kufurahia wanaanza kulia🤣🤣🤣😅😅😅😅😅 unanilingishia, nyie loser hamuwezi kuwa na vibe kama letu ushindi plus furaha yani tunaenda baharini huko plus upepoo 😅😅😅😅 Cillah utampa testimony huyu mzee wako
Hapo uliposema ni wakati wa kuwainua kina mbappe ndo nashindwa kukuelewa wainuliwe na nani kama sio performance ya uwanjani?Kipindi cha Messi na CR7 kimeisha sasa na inatosha. Dunia ya Soka ianze kukuza kizazi kipya, tuone damu mpya zikishindania mchezaji bora. Messi na aliyekuwa anampa changamoto yaan CR7 wabaki kwenye historia. Ni wakati wa kuwainua kina Mbappe, Halland na wengineo, Burudani ya soka na iendelee. Ni bahati kuwashuhudia CR7 na Messi wakicheza.
Labda spanish, lugha ya washindiUnakitaka?
.King Mbappe is the First hat trick winner in the world cup [emoji123][emoji3059]View attachment 2451169View attachment 2451172
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mashabiki waPenaldo wamejificha nyuma ya Mbappe...Kwakweli sherehe ya ushindi huwezi fananaisha na wa majonzi. Kwanza wanaweza jikuta badala ya kufurahia wanaanza kulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mpira una bahati yake mkuu...ndio walicheza na walistahili kushinda ila na bahati ilikua upande wao leo ndo maana ikafika mpk penaltyBahati ilikuwa kwa france, penalty 2 na ya 2 ilikuwa na walakin. Kuhusu kupiga matuta Argentina ni mafundi.
Hakukuwa na bahati yoyote. Walistahili
asikilizie lijalo sio mbali sana 😅😅
Uliambiwa utaja wapa watu murder case hujaelewa eeh!! Shaurilo. Na hivyo uko na stress za kufungwa ni kugusa tu.National Anthem kwa taarifa zaidi🤣🤣🤣
Nilikuwa very bizi mnoo, wale mbwa walikuwa wanabweka hapa mje hapa mbwa ninyi[emoji57]
Debate is over mahfakaa[emoji41]
Beba hata sidiria ya dhahabu, sisi tunabeba kombe la dunia.Kiatu cha dhahabu kileee [emoji117] 7 goals with 5 fantastic goals but not the same as Miss penati goals 5
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Punguza munkari dogo
Si ajabu Kipepe alosema ye ni teamless ndo maana anatushangaa