🤣🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tutaja kufa kirahisi sana Mdogo wangu..
Sirudiiii[emoji119]
pole sana, tafuta dawa tatu.. maumivu yapoe 😅😅DAH nimeumia sana
Ikiwachomahakunaga something called Teamless..........wana inawachoma kimya kimya
Here we GO! Kwani kuna Debate tena ya Messi na CR7??
🤣🤣🤣🤣🤣Mashabiki waPenaldo wamejificha nyuma ya Mbappe...
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji38][emoji38]kumbe hata sheria ya offside huijui alf unatupgia kelele[emoji2]Toka FIFA ili PELE MFALME WA SOKA duniani awe sawa na Miss penati [emoji1787]
Yani vidole vimezidi kabisa mstari lakini bado tu unakaza fuvu sababu ya mahaba niuwe daaah [emoji38]View attachment 2451086View attachment 2451087View attachment 2451088
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Walijua atawasaidia kuzima ndoto za Messi kubeba kombe la dunia ili waendelee kumfananisha na Ronaldo.Mashabiki waPenaldo wamejificha nyuma ya Mbappe...
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora tushabikie hela tu.
Pole sweetheart!DAH nimeumia sana
Toka huku sasa nenda kwenye nyuzi nyingine.......Madafakas kitu kinapenya kama sindano!!Ikiwachoma
Watachomoa
Tulia
Debate za hao watu me hazinihusu
Simshabikii hata mmoja hapo
Mashabiki wa Ronaldo wameumia mno. Maumivu huwa yanapunguza uwezo wa kufikiri, na ni Sayansi kabisa hiyo sio maoni.[emoji38][emoji38]kumbe hata sheria ya offside huijui alf unatupgia kelele[emoji2]
hahahaha mkuu leo tena upepo ni wetuuuuuu tumshukuru MunguuuNilikuwa very bizi mnoo, wale mbwa walikuwa wanabweka hapa mje hapa mbwa ninyi[emoji57]
Debate is over mahfakaa[emoji41]
🚮🚮Toka huku sasa nenda kwenye nyuzi nyingine.......Madafakas kitu kinapenya kama sindano!!
Nilimaanisha boss ni wakati wa kuachana na uCRphobia na Umesiphobia ili vizazi vipya vipate kujiamini na kuona kuna nafasi mpya ipo wazi.Hapo uliposema ni wakati wa kuwainua kina mbappe ndo nashindwa kukuelewa wainuliwe na nani kama sio performance ya uwanjani?
Tusubiri next wc itakuwa vyema zaidi Ila kwa sasa twende tukairoge ccm isambaratike tuwe nchi huru.Labda spanish, lugha ya washindi
Zumbukuku la Miss penati ongeza sauti [emoji28][emoji1732][emoji16]Pole sana mkuu, Ronaldo alikuliza, leo tena na penalty 2 umelia, I can feel your pain