Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

hahahahahahahaha mkuu furaha imezidi hadi unavurugwaaa
vamooooooooooooooossssssssssssssssssssssssssssss
Hlf bingwa mwenzangu wa Dunia kuna party ya Mabingwa kubwa sana inaandaliwa.

Usijal mamaah ntakupa info kamili uone kama unaweza kufika lzm tupige party la Ubingwa aseee muhm.

And NEWWWWWWW reigning WORLD CUP CHAMPIONS la Albiceleste [emoji1033][emoji1033][emoji1033]

Vamooooooooooooooooooooooooooooooooooos Nakadori [emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033]
 
Utabiri inapaswa utabiri kabla ya mashindano kuanza.

Sasa utabiri wa hapa JF ,,mtu anasubiri upepo unapoelekea na yeye analeta ubashiri wake .

Utabiri unaletwa kipindi cha pili cha mchezo baada ya kusoma matokeo.
 
walitukana sanaaaaa
walitubeza sanaaaaaa
sema sisi tulikuwa na roho za paka tukawa tunaenda nao bampa to bampa
Eeh sasa kwnn wao wakasirike mamaah watulie ni wkt wetu kufurah furaha iko pande mbili.. Wao wangeshinda wangetupa matus pia na kejel..

Wavumilie tu furaha yetu ya leo...furaha ya Mabingwa wapya wa dunia[emoji1033][emoji41]


Vamooooooooooooooooooooooooooooooooooos[emoji1033]
 
wapi hukooo?
na hyo party dress code ni jezi za argentina ili kuipa amsha vizuri. nlishangaa tunamalizaje bila pareeeeeeeeeeeeeee. unijulishe tuu
 
Huyu ni mchambuzi mahili wa mipira ya kimataifa....yupo hapo TBC1 usimchukulie poa. Mara nyingi alikuwa akibet anakula mechi nyingi tu hadi wahindi wanamkimbia...

Tuliza tako hapo , ujue nani anapigwa leo
Miaka ya zamani betting ilikua sio kazi kama sasa. Mwambie ajaribu sasa ivi achezee za kichwa
 
We dedicate this one, to all haters around this thread.View attachment 2451193

Kama unateseka, kufa kabisa[emoji706][emoji706]
Hakika hii ni 1 for the haters wakalie hapo watulie.

Wanakuja saiv wanatia tia huruma za kisenge hapa eti ooh sijui ikaenda ikarud kmmmk hakuna huruma sis ndo wa mwsh kucheka na tutacheka sana na party la Ubingwa halipoi kmmmk.


Vamoooooooooooooooooooooooooooos LA ALBICELESTE [emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…