Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Amen!!na kweli me mpira wangu ni wa kombe la dunia tuuu
hadi 2026 tukijaliwa uzima tena.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen!!na kweli me mpira wangu ni wa kombe la dunia tuuu
hadi 2026 tukijaliwa uzima tena.....
hatubishani tena sisi post zetu za kushangilia tuuuHlf nakuomba sana Nakadori usibishane tena na shabiki uchwara hawa waganga njaa.. Mda wa kubishana nao umeisha kwhy usiangaike tena mQuote hater.
Sisi ndo Mabingwa wapya wa dunia lzm Tuwe na class tusijiingize kwny hoja uchwara za hawa takataka.
Tafadhali sana mamaah ang nakuomba tusipoteze hadhi yetu kama Mabingwa kubishana tena ubish Umeisha na sisi ndo Mabingwa wapya wa dunia.
Vamoooooooooos LA Albiceleste [emoji1033][emoji41]
Kabisa kaka wanaume tukasimama na team yetu.Walibonga mbovu since game ya Saudi Arabia, ila vidume tulisimamia msimamo wetu.
VAMOOOSSS ARGENTINA!![emoji1033][emoji1033][emoji1033]
Wewe KENGE bado upo?Hili ndio kombe la dunia la mwisho wa messi na atastaafu bila kulibeba
Nawapongeza ufaransa imekuwa timu bora Sana.
Basi kumbe unajua protocol saiv sisi post zetu za kupost tu ubingwa bas.hatubishani tena sisi post zetu za kushangilia tuuu
Kwanza kuanzia leo salamu yangu hata nikipost uzi itakuwa vamosBasi kumbe unajua protocol saiv sisi post zetu za kupost tu ubingwa bas.
Mda wa kubishana ss umeisha.
Mabingwa wapya ndo sisi.[emoji1033][emoji1033]
Vamooooooooooooooooooooooooooooooooooos Nakadori [emoji1033]
Hii picha niliitamani sana...thanks God kwa hili[emoji1033][emoji238]View attachment 2451225
Tena hii ndo umenipa new rule kns.. Iwe hata unachangia kwny mada nyngne majukwaa mengne Yan usisahau utambulisho wetu.Kwanza kuanzia leo salamu yangu hata nikipost uzi itakuwa vamos
Bas nikupa iyo asee.. Ebu weka wallpaper mpya bingwa mwenzangu wa DuniaHii picha niliitamani sana...thanks God kwa hili
It is high time nibadilishe wallpaper yangu
Kwa kweli nilibadili channel nikaanza kuangalia muziki...aisee Lile bao la pili la mbappe liliniliza...cm niliweka mbali kabisa..Kiukweli kuna muda baada ya kusawazisha ilikuwa inatokea nataka timu yangu ishinde lakini kila nilipokuwa namuangalia Di Maria akiwa analia, huruma inanijaa nafikiria vitu vingi.
Mchezaji ambaye ameonesha jitihada sana katika yale magoli mawili na jinsi gani haya mashindano aliyapa value halafu dakika za mwisho akiwa yupo nje mabao yote yamerudishwa??
Aisee mpira ni mkusanyiko wa hisia, hata humu nyinyi wenyewe mliodhani zile goli 2 ndio zingewafanya mmalize dakika 90 mkiwa mmwshinda, wote mlipoteana humu.
Robbed. Kolo Muani anastahili .Kijana we2 kapiga sana mpr mwng.
Ni mda ss apate transfer team kubwa.
Kiungo wa Boriii#EnzoFernandez [emoji91]
Vamoooooooooos [emoji1033]View attachment 2451234
Kabisa kaka wanaume tukasimama na team yetu.
Hlf leo wanakuja kutia huruma hapa na wao ss ni mda wao watulie tunaongea Mabingwa hapa.
Kwnz mkuu usibishane na Takatak yoyote kwa sasa hawama tena class ya kuongea na Mabingwa wa Dunia
We're the NEWWWWWWW WORLD CHAMPIONS [emoji1033]
Vamooooooooooooooooooooooooooooooooooos [emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033]
Wanaangalia overall performance kwenye tournament sio mechi 1Robbed. Kolo Muani anastahili .