Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtanisamehe wakuu, nilichogundua messi anakubalika zaidi kwa wanawake [emoji126][emoji126][emoji126] na watu wafupi [emoji144][emoji144][emoji144]Mtanisamehe wakuu, nilichogundua messi anakubalika zaidi kwa wanawake [emoji126][emoji126][emoji126] na watu wafupi [emoji144][emoji144][emoji144]
[emoji16][emoji16][emoji16]
hahahahaha eti nimelipeleka arg
nampenda messi baada ya kusoma background yake..........hadi kwenye familia yetu kuna mtu ameitwa jina la messi.... so niliumia sana alipodharauliwa na kubezwa. muache messi awe messi. he was a nobody ...ni football imembeba na kumuinua
yeahh mkuu na inabidi upitishe kalamu kwenye huu uzi tutambuane wale wote tuliobeba fedheha toka day one na ikiwezekana wote tuwepo kwenye hyo pareeeTena hii ndo umenipa new rule kns.. Iwe hata unachangia kwny mada nyngne majukwaa mengne Yan usisahau utambulisho wetu.
Naomba symbol yetu iwe ivi..
Vamooos[emoji1033]
Yan Vamos tunaweka na kabendera ke2 au unasemaje mamaah?
duhh kweli haya sio mapenzi ni mahabaaaa kwa messi alijesema lowassa[emoji28][emoji28][emoji28]usije ukawa ndugu yangu,
Ako mdogo wangu anaitwa Messi
watakuwa wachawiKuna watu Argentina kuwa bingwa roho hazijawauma ila Messi kubeba kombe roho zimewauma sana
Robbed. Kolo Muani anastahili .
Kuna watu Argentina kuwa bingwa roho hazijawauma ila Messi kubeba kombe roho zimewauma sana
Hilo lizee sikuhizi lipo wapi 😁😁😁😁😄Baada ya dakika 70😂
View attachment 2451183
yani hapo unapigia mstariiiiiiBas nikupa iyo asee.. Ebu weka wallpaper mpya bingwa mwenzangu wa Dunia
Vamoooooooooos [emoji1033]
Mimi mkuu sitoi kbs airtime kwa haters Yan sina mda wa kuQuote andiko la mtu yoyote tofaut na wabingwa wenzangu.Imeisha mkuu, hakuna kuzipa airtime hizi mbwa
duhh kweli haya sio mapenzi ni mahabaaaa kwa messi alijesema lowassa
Katundika dalugaHilo lizee sikuhizi lipo wapi 😁😁😁😁😄
Yan usijal mm mashabik wenzangu wa Argentina since day 1 ya fedheha nawajua wote na list yao ninao.. Kwhy usijal party alitakua na mamluki wala mshabik wa oya oya wa kuhamia baada ya mafanikio.yeahh mkuu na inabidi upitishe kalamu kwenye huu uzi tutambuane wale wote tuliobeba fedheha toka day one na ikiwezekana wote tuwepo kwenye hyo pareee
Vamosssss
natumia laptop so emoj sijapata haha
so ni argentina damuuOfkoz, kwa hii family yetu ni team maradona watoto tumepokea kijiti kwa Messi[emoji28][emoji28]
Vamoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooos[emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033]yani hapo unapigia mstariiiiii
vamosssssssssssssssssssssssss