Leo sijui tusilala?Mabingwa wa dunia najua bado mpo hapa.
Shangwe liendelee jmn mbn kama mmepoa ivi.
The NEWWWWWWW REIGNING WORLD CUP CHAMPIONS LA ALBICELESTE [emoji1033]
Vamoooooooooooooooooooooooooooos [emoji1033]View attachment 2451300
Dah DEMBA bora umeanza kupitia risit asee.. Tulisema hapa kua tutapambana kwa jasho la damu..Tunapitia risiti mbalimbali [emoji1033][emoji1033][emoji1033]
Na alisema ivi yuko tyr kuweka maisha yake rehani ili tu Messi awe bingwa wa dunia.DIBU alitupeleka final kule Brazil kwenye Copa America, na alituvusha kuingia WC final na leo katupa ubingwaπ€[emoji171]
POM yake ya ngapi hii kwenye hii michuano?Mabingwa wa dunia najua bado mpo hapa.
Shangwe liendelee jmn mbn kama mmepoa ivi.
The NEWWWWWWW REIGNING WORLD CUP CHAMPIONS LA ALBICELESTE [emoji1033]
Vamoooooooooooooooooooooooooooos [emoji1033]View attachment 2451300
Ndo wote walikua Wamejificha hapo Yan tulikua tunapambana vita ngumu sana.Alaaah! Kumbee ndio mana akapata wafuasi wengi?View attachment 2451293
Kawa shujaa sana kwenye kufanikisha hiliDIBU alitupeleka final kule Brazil kwenye Copa America, na alituvusha kuingia WC final na leo katupa ubingwaπ€[emoji171]
Mm kwnz job niliwapa taarifa kbs mapema kua j3 siwez kua job.Leo sijui tusilala?
Iyo ya 5 mkuu out of 7 games.POM yake ya ngapi hii kwenye hii michuano?
Ilikuwa ni siku nzuri sana kwetu japo Roho zilikuwa juu juuNdo wote walikua Wamejificha hapo Yan tulikua tunapambana vita ngumu sana.
Sema Mungu mkubwa sana alisema huu ni wkt wenu mtashinda in a dramatic way.. Kwa kucheza 1 of the best WC final match ever.
Vamooooooooooooooooooooooooooooos[emoji1033]
duhhKwnz ndo alikua kocha mwnyw umr mdg kbs kwny Michuano na ndo kabeba.
woyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo peace and loveeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeMhhh yaishe yapi mbona mi sikua nayo?? Zile mambo ni kawaida ukiwa mchezoni..mbona mm nagombanaga na watu mwanzo mwisho inategemea na mtu anakujaje baada ya hapo mambo yakua pouwaaa..mpira umeisha tukutane majukwa mengine wale wa simba na yanga turudi zetu nyumbani kumenoga.
hahaha nikosa raha nkawa natetemekaaaa bora sikuangalizia bar nlikuwa home...dahhKila sehem nayo enda kelele nikakimbilia nnje ya mjiπ€£π€£π€£π€£ kilimani
ππππMm kwnz job niliwapa taarifa kbs mapema kua j3 siwez kua job.
Na wanajua ilo kbs kua mm ni bingwa wa dunia hkn wa kunibishia ilo.
Mm kiukwl leo silali kbs Yan kwnz hpa naendelea kupata 2 tatu nikijua kbs leo sina kaz nyngne zaid ya shangwe la Ubingwa.
Vamoooooooooooooooooooooooos[emoji1033]
Na bora tumeshinda ivo Pa1 sikutk iwe ivo lkn itakumbukwa kama final bora kbs kuwah kutokea na ndo Messi the#[emoji238] alikua bingwa wa dunia.Ilikuwa ni siku nzuri sana kwetu japo Roho zilikuwa juu juu
Mbappe ajengewe sanamu lake haraka sana pale France [emoji106]Mbappe anatakiwa aende Madrid ili aanze kuchukua ballon D'or.. akitoka messi ni mbappe kwa sasa. Naona kama ndie atakae rithi mikoba ya cr7 na messi combined.. ila aende Madrid.
Mm nilale naumwa au..duhh
na nyie amkeni amkeni amkeni amkeniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mnalalajeeee? nlienda kuogaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa