Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Tunapitia risiti mbalimbali [emoji1033][emoji1033][emoji1033]
Dah DEMBA bora umeanza kupitia risit asee.. Tulisema hapa kua tutapambana kwa jasho la damu..

Tukatukanwa sana kejel zikawa nyng.

Lkn wa mwsh kucheka tumekua sisi.

Vamoooooooooooooooooooooooos[emoji1033][emoji1033]
 
DIBU alitupeleka final kule Brazil kwenye Copa America, na alituvusha kuingia WC final na leo katupa ubingwa🤍[emoji171]
Na alisema ivi yuko tyr kuweka maisha yake rehani ili tu Messi awe bingwa wa dunia.

Na kwl leo aliweka maisha yake rehani alicheza kama mwanajeshi aliyetumwa kupambania nchi.

Vamoooooooooooooooooooooooooooos [emoji1033]
 
8753DB83-E75D-400E-AB20-AFA9BD3A87DD.jpeg
 
Leo sijui tusilala?
Mm kwnz job niliwapa taarifa kbs mapema kua j3 siwez kua job.

Na wanajua ilo kbs kua mm ni bingwa wa dunia hkn wa kunibishia ilo.

Mm kiukwl leo silali kbs Yan kwnz hpa naendelea kupata 2 tatu nikijua kbs leo sina kaz nyngne zaid ya shangwe la Ubingwa.

Vamoooooooooooooooooooooooos[emoji1033]
 
Ndo wote walikua Wamejificha hapo Yan tulikua tunapambana vita ngumu sana.

Sema Mungu mkubwa sana alisema huu ni wkt wenu mtashinda in a dramatic way.. Kwa kucheza 1 of the best WC final match ever.

Vamooooooooooooooooooooooooooooos[emoji1033]
Ilikuwa ni siku nzuri sana kwetu japo Roho zilikuwa juu juu
 
Kwnz ndo alikua kocha mwnyw umr mdg kbs kwny Michuano na ndo kabeba.
duhh
na nyie amkeni amkeni amkeni amkeniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mnalalajeeee? nlienda kuogaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Mhhh yaishe yapi mbona mi sikua nayo?? Zile mambo ni kawaida ukiwa mchezoni..mbona mm nagombanaga na watu mwanzo mwisho inategemea na mtu anakujaje baada ya hapo mambo yakua pouwaaa..mpira umeisha tukutane majukwa mengine wale wa simba na yanga turudi zetu nyumbani kumenoga.
woyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo peace and loveeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mm kwnz job niliwapa taarifa kbs mapema kua j3 siwez kua job.

Na wanajua ilo kbs kua mm ni bingwa wa dunia hkn wa kunibishia ilo.

Mm kiukwl leo silali kbs Yan kwnz hpa naendelea kupata 2 tatu nikijua kbs leo sina kaz nyngne zaid ya shangwe la Ubingwa.

Vamoooooooooooooooooooooooos[emoji1033]
😂😂😂😂

Noma sana mzee
 
Ilikuwa ni siku nzuri sana kwetu japo Roho zilikuwa juu juu
Na bora tumeshinda ivo Pa1 sikutk iwe ivo lkn itakumbukwa kama final bora kbs kuwah kutokea na ndo Messi the#[emoji238] alikua bingwa wa dunia.

Vamoooooooooos Albiceleste [emoji1033][emoji1033][emoji1033]
 
duhh
na nyie amkeni amkeni amkeni amkeniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mnalalajeeee? nlienda kuogaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mm nilale naumwa au..

Nilikua naksbr hapa tuendeleze shangwe la Ubingwa.

Vamooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooos[emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033]
 
Kibu angepata walau theluthi ya Mbappe wana Simba tusingekuwa tunamfikiria mtu aliyekuwa China saiv
 
Back
Top Bottom