Am_tunnechi
JF-Expert Member
- Nov 12, 2022
- 1,060
- 1,956
Kbs baada ya maneno. Na kejel. Zote zile. Hlf watu bado wanaumia eti sisi kufurah.
Kmmk binadamu hawana jema mkuu.. Yan Pa1 na kutukejel kote kule na matusi yale bado kuna watu wakiona tunafurah wananuna..
Sema ndo ivo sisi hatuna cha kusema zaid ya kusema siis ndo THE NEWWWWWWW WORLD CHAMPIONS [emoji1033]
VAMOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOS LA ALBICELESTE [emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033]
Hizo mbwa ziwache zibweke mkuu, kesho tutazipa makombo ya mifupa wanywe na machozi yao[emoji28][emoji28]