Am_tunnechi
JF-Expert Member
- Nov 12, 2022
- 1,060
- 1,956
Kbs baada ya maneno. Na kejel. Zote zile. Hlf watu bado wanaumia eti sisi kufurah.
Kmmk binadamu hawana jema mkuu.. Yan Pa1 na kutukejel kote kule na matusi yale bado kuna watu wakiona tunafurah wananuna..
Sema ndo ivo sisi hatuna cha kusema zaid ya kusema siis ndo THE NEWWWWWWW WORLD CHAMPIONS [emoji1033]
VAMOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOS LA ALBICELESTE [emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033]
umekumbuka sala kabla ya mechi katikati ya magumu na baada ya magumu? maana ukiangalia kila kona giza...bado vuvuzela za jf zinapiga kelele unabaki na Mungu tuNapenda mnoo spirit yako, hadi nimemkumbuka my dear mama[emoji3590]
halafu huyu pimbi mbappe leo kapata penalty 2 ila hawasemi hawa vuvuzela
angekuwa goat hapo weeeee
nyani haoniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.............................................Haziwezi kuongelewa hizo siunajua mahaba yakizidi uhalisia inakuwa tabu
Hakika hawa takataka mm hawanisumbui kichwa ndo maana siwez angaika hata kujib mbwa koko hawa mm.Hizo mbwa ziwache zibweke mkuu, kesho tutazipa makombo ya mifupa wanywe na machozi yao[emoji28][emoji28]
umekumbuka sala kabla ya mechi katikati ya magumu na baada ya magumu? maana ukiangalia kila kona giza...bado vuvuzela za jf zinapiga kelele unabaki na Mungu tu
big goatttttttttttttt the goat of goatsNilikua tu ww Nakadori unaongelea haka ka Mbuzi bora ka mda wote. [emoji23][emoji238]View attachment 2451318
Hakika hawa takataka mm hawanisumbui kichwa ndo maana siwez angaika hata kujib mbwa koko hawa mm.
Yan mm naongea na Mabingwa wenzang tu ndo najua wana point za kibingwa wanaweza kuniambia sio izi takataka uchwara.
Vamoooooooooooooooooooooooos[emoji1033]
hallelujah amennnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnGlory to Almighy God[emoji1488]
hallelujah amennnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnn
he is the only one to receive all the praise
walale wapiii ukute saa hizi washapata mapain killer wanapombeka mahaliiNgoja niwe hater na Mimi ....... "Sa 7 hii mlale messi mwenyewe kalala saiz"
mateso yalikuwa mengi sanaa......ingekuwa tunaonana live asee sijui ingekuwaje. wapo ambao wangekulana mkonoHakika mkuu.
Muda wetu huu, baada ya madhila na misukosuko mingi.
Ajaweka Bali amevunja record ya Geoffrey Charles Hurst mwaka 1966Wamebahatisha tu dogo kaeka record hat trick leo.
King ni Mbape.
Ilo ww ndo umeliongelea vzr na umemaliza.. Sina cha kuongeza mmbig goatttttttttttttt the goat of goats
ni Messi pekeee
na Messi ni mmoja tu duniani......
Tulikua na team kwny kila nyakat ngumu na zenye furaha..Hakika mkuu.
Muda wetu huu, baada ya madhila na misukosuko mingi.
Hili vazi alovishwa GOAT lina maana gani?Ilo ww ndo umeliongelea vzr na umemaliza.. Sina cha kuongeza mm
Lbd niweke ushahid wa picha za mnato tu kama wanavosema wenye kiswahil chao[emoji23]
Vamoooooooooooooooos [emoji1033]View attachment 2451331View attachment 2451330View attachment 2451334View attachment 2451333View attachment 2451335View attachment 2451332View attachment 2451336View attachment 2451338View attachment 2451337