Da Gladiator
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 1,641
- 2,646
Hivi ulilala saa ngapi?Ndo nshaweka gazeti hilo msomeee
Mama mfanya usafiii
Yeye alizaliwa na tatizo la growth syndrome
Still amefikia alipofikia ....jamani huyu Mungu huyuuu muacheni tuuu
Ana utoto na anapenda sifa za kijinga ambazo hazimsaiidi kitu. Huyu jamaa ni INFERIOR SO ANATAFUTA NAMNA YA KUJIWEKA SUPERIOR.Kwa namna anavyojisifia, inaonesha anapenda sana kusifiwa.
Bilashaka ukitaka mzigo wa huyu dada, we msifie tu. Atakupa yoteyote.
Siku nyingi tu tunajua habari za Andunje akiwa mtoto kuwa kuna madini walimuongezea ili arefuke kuwa na urefu alionao sasa hivi.Ndo nshaweka gazeti hilo msomeee
Mama mfanya usafiii
Yeye alizaliwa na tatizo la growth syndrome
Still amefikia alipofikia ....jamani huyu Mungu huyuuu muacheni tuuu
Chifu wengine muwavumilie, huenda ni kabila la Wahaya (Watani zangu) [emoji847]Ana utoto na anapenda sifa za kijinga ambazo hazimsaiidi kitu. Huyu jamaa ni INFERIOR SO ANATAFUTA NAMNA YA KUJIWEKA SUPERIOR.
Morocco ni wakoloni kwa Afrika, ni aheri kushabikia Ufaransa kuliko kushabikia Morocco.
Wahaya huwa ni wapumbavu?😳Chifu wengine muwavumilie, huenda ni kabila la Wahaya (Watani zangu) [emoji847]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Misifa kwa sana Chifu [emoji3526]Wahaya huwa ni wapumbavu?[emoji15]
Baadhi yao wana upumbavu mwingiWahaya huwa ni wapumbavu?😳
Sijui kwa kweli. Wanatokea Mkoa gani? Maana naanza na kupima Mkoa wa hao jamaa ukoje.
Wanatokea Mkoa gani? Niangalie mkoa wao Kiuchumi ukojeBaadhi yao wana upumbavu mwingi
KageraWanatokea Mkoa gani? Niangalie mkoa wao Kiuchumi ukoje
Ni moja ya Mikoa Maskini. Sasa mtu anayetokea huko anapata wapi nguvu ya Kujisifu? Huo si ndo Upumbavu? Yaani unakaa Bar unakuza jina wazazi wako wanalala chini, wanalala njaa?Kagera
Unataka kusema kuwa wote wanaoisifia Argentina ya anduje ni matajiri au wanatokea mkoa tajiri hapa TZ?Ni moja ya Mikoa Maskini. Sasa mtu anayetokea huko anapata wapi nguvu ya Kujisifu? Huo si ndo Upumbavu? Yaani unakaa Bar unakuza jina wazazi wako wanalala chini, wanalala njaa?
Nashukuru unanifuatilia sana mkuuEndelea kukaza fuvu we kitoto cha miaka ya 2000 unihangaishe Baba yako niliyekuzaa mwenyewe [emoji848][emoji16]
Huwezi kuwa mshabiki wa Azam ukawa na akili kichwani NEVER EVER [emoji3]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Siku nyingi tu tunajua habari za Andunje akiwa mtoto kuwa kuna madini walimuongezea ili arefuke kuwa na urefu alionao sasa hivi.
That's why we're realizing that "MISS PENATI ni programed creature by White people to destroy the football winning trophies records of The KING PELE due to his natural skin color/BLACK SKIN by any means" [emoji28]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mwamba ana hasira bado ,mmemtukana sana anataka awafundishe adabukwa kuongeza ballon dor , Uefa champions League title na world cup title nyingineOya mmesikia huko...messi ameahirisha mpango wake wa kustaafu timu ya taifa.....
Sasa sijui anataka kubeba tena au lengo lake ni lipi? Angeachia tu hapohapo abaki na hii heshima kuliko timu ije iboronge na yeye akiwemo
Mwamba ana hasira bado ,mmemtukana sana anataka awafundishe adabu kwa kuongeza ballon dor , Uefa champions League title na world cup title nyingineOya mmesikia huko...messi ameahirisha mpango wake wa kustaafu timu ya taifa.....
Sasa sijui anataka kubeba tena au lengo lake ni lipi? Angeachia tu hapohapo abaki na hii heshima kuliko timu ije iboronge na yeye akiwemo
Siku nyingi tu tunajua habari za Andunje akiwa mtoto kuwa kuna madini walimuongezea ili arefuke kuwa na urefu alionao sasa hivi.
That's why we're realizing that "MISS PENATI ni programed creature by White people to destroy the football winning trophies records of The KING PELE due to his natural skin color/BLACK SKIN by any means" [emoji28]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app