Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Ndo nshaweka gazeti hilo msomeee


Mama mfanya usafiii

Yeye alizaliwa na tatizo la growth syndrome
Still amefikia alipofikia ....jamani huyu Mungu huyuuu muacheni tuuu
Siku nyingi tu tunajua habari za Andunje akiwa mtoto kuwa kuna madini walimuongezea ili arefuke kuwa na urefu alionao sasa hivi.

That's why we're realizing that "MISS PENATI ni programed creature by White people to destroy the football winning trophies records of The KING PELE due to his natural skin color/BLACK SKIN by any means" [emoji28]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ni moja ya Mikoa Maskini. Sasa mtu anayetokea huko anapata wapi nguvu ya Kujisifu? Huo si ndo Upumbavu? Yaani unakaa Bar unakuza jina wazazi wako wanalala chini, wanalala njaa?
Unataka kusema kuwa wote wanaoisifia Argentina ya anduje ni matajiri au wanatokea mkoa tajiri hapa TZ?

Tafuta jibu na utawajua wapumbavu 😂
 
Endelea kukaza fuvu we kitoto cha miaka ya 2000 unihangaishe Baba yako niliyekuzaa mwenyewe [emoji848][emoji16]

Huwezi kuwa mshabiki wa Azam ukawa na akili kichwani NEVER EVER [emoji3]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Nashukuru unanifuatilia sana mkuu

Kumbe nina status

Alafu mimi ata sjui unashabikia team gani


Leo ndiyo nimejua mimi STAR
 
Siku nyingi tu tunajua habari za Andunje akiwa mtoto kuwa kuna madini walimuongezea ili arefuke kuwa na urefu alionao sasa hivi.

That's why we're realizing that "MISS PENATI ni programed creature by White people to destroy the football winning trophies records of The KING PELE due to his natural skin color/BLACK SKIN by any means" [emoji28]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
emi_martinez26~p~CmUneRsyx_2~3.jpg

Chukua hiyo kaombee mkopo upunguze makasiriko
 
Oya mmesikia huko...messi ameahirisha mpango wake wa kustaafu timu ya taifa.....
Sasa sijui anataka kubeba tena au lengo lake ni lipi? Angeachia tu hapohapo abaki na hii heshima kuliko timu ije iboronge na yeye akiwemo
Mwamba ana hasira bado ,mmemtukana sana anataka awafundishe adabukwa kuongeza ballon dor , Uefa champions League title na world cup title nyingine
 
Oya mmesikia huko...messi ameahirisha mpango wake wa kustaafu timu ya taifa.....
Sasa sijui anataka kubeba tena au lengo lake ni lipi? Angeachia tu hapohapo abaki na hii heshima kuliko timu ije iboronge na yeye akiwemo
Mwamba ana hasira bado ,mmemtukana sana anataka awafundishe adabu kwa kuongeza ballon dor , Uefa champions League title na world cup title nyingine
 
Siku nyingi tu tunajua habari za Andunje akiwa mtoto kuwa kuna madini walimuongezea ili arefuke kuwa na urefu alionao sasa hivi.

That's why we're realizing that "MISS PENATI ni programed creature by White people to destroy the football winning trophies records of The KING PELE due to his natural skin color/BLACK SKIN by any means" [emoji28]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app

Mmmhh! Being black sio kilema, hii dhana ya kumtumia Messi ili ku destroy legacy ya Pele mbona kama mkuu umevuka mbali..
 
Mbappe tunamkubali sana lakini anahitaji jitihada beyond human limits, nidhamu, na muhimu kuliko yote kudra za Mungu kuweza kufika walau robo ya ambacho Messi na Ronaldo wameifanyia dunia ya mpira.

Mtu kama Messi kama ulibahatika kumuona wakati ana miaka 19, wakati anavaa jezi namba 30, baadae akavaa namba 19 long before hajaanza hata kuvaa namba 10, wakati anapiga hat trick mbele ya Madrid ilojaa wachezaji wakali wote ulokua unawajua, huwezi kumkweza Mbappe mapema hivi.

Mimi Messi nimeanza kumfuatilia game moja ya UEFA na Chelsea ilichezwa darajani, Chelsea ilikua na watu wana roho mbaya kuliko unavyoweza kudhania ila kijana miaka 19 alikua anaweza kutembea na mabeki hata wanne kwenye chaki na anafika anakokwenda fresh tuu, the rest ni historia.

Baada ya VAR kuwa introduced kwenye mpira na baada ya generation ya Messi na Ronaldo kupita, nitaacha rasmi kushabikia mpira, nitakua naangalia kama burudani halafu nitahamia tu UFC.
 
Back
Top Bottom