Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Ziendeleeje tena zaidi ya hapa πππ€£
Asee niliamka nikarud tena kulala.. Mabingwa bana tuna mbwembwee sana kiukwl.TumeamkaaaaaaaaaaaaΓ aaaaaaaaaaaaaaa
Vamossssssssssssssssssssssss [emoji1033]
Vamoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooos[emoji1033]Vamosssssssssss [emoji1033]
Gawa doziii
Mbappe tunamkubali sana lakini anahitaji jitihada beyond human limits, nidhamu, na muhimu kuliko yote kudra za Mungu kuweza kufika walau robo ya ambacho Messi na Ronaldo wameifanyia dunia ya mpira.
Mtu kama Messi kama ulibahatika kumuona wakati ana miaka 19, wakati anavaa jezi namba 30, baadae akavaa namba 19 long before hajaanza hata kuvaa namba 10, wakati anapiga hat trick mbele ya Madrid ilojaa wachezaji wakali wote ulokua unawajua, huwezi kumkweza Mbappe mapema hivi.
Mimi Messi nimeanza kumfuatilia game moja ya UEFA na Chelsea ilichezwa darajani, Chelsea ilikua na watu wana roho mbaya kuliko unavyoweza kudhania ila kijana miaka 19 alikua anaweza kutembea na mabeki hata wanne kwenye chaki na anafika anakokwenda fresh tuu, the rest ni historia.
Baada ya VAR kuwa introduced kwenye mpira na baada ya generation ya Messi na Ronaldo kupita, nitaacha rasmi kushabikia mpira, nitakua naangalia kama burudani halafu nitahamia tu UFC.
[emoji23][emoji23]Kuna neno moja hapo mkuu dah.. Eti nn wa Varane umezidi.. Dah [emoji23][emoji23]
Anyway Vamoooooooooooooooooooooooooooos[emoji1033]View attachment 2451754
Jamani haya π πUje Uzi wa Liverpool...
Kuna mdada mwenzio tuna chat nae peke yake ...
Jamani haya π π
My dear Mimi nilideclare mwanzoni kabisa. Kwenye comment za mwanzo kabisa kabla mashindano hayajaanza .... Mimi ni shabiki kindaki ndaki wa messidemba kuna party ya champions og since day 1 au na wewe shabiki wa plastic?
Huu sio utabiri Bali ni mtazamo,tatizo unatafuta umaarufu jf na kutaka ujulikane kuwa wewe ni mtabiri,watabiri huwa wanatabiri kabla ya tukio kutokea,ulicholeta wewe ni mtazamo.Nadhani ungeangalia muda nimepost ..na mchezo ulikuwa Bado kabisa imagine Ni 2 sifuri na nikapatia nikasema watafikia ma penalt na imefika [emoji7]
Naona mabingwa mnajibu kwa picha tu πView attachment 2451635
Chukua hiyo kaombee mkopo upunguze makasiriko
Hahaha sasa why tupotezeane mudiNaona mabingwa mnajibu kwa picha tu π
Wameshachukua au badoπ~ Utabiri ndo huo.
~ Team Messi am sorry.
~ Mbape atafanya jambo.
~ Sikuwa na bando tu ningeandika sa nyingi sanaππ.
Updates:
Me pia ni binadamu.
View attachment 2450665
Anyone with any plans to participate in 2026 World Cup. Am in...[emoji4]
For football fans, challenge yourself and start to save January 2023 ready for 2026 world Cup..... [emoji1635][emoji1635][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482].
Happy Sunday everyone as you prepare to watch the final match today [emoji112].