Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

TumeamkaaaaaaaaaaaaΓ aaaaaaaaaaaaaaa
Vamossssssssssssssssssssssss [emoji1033]
Asee niliamka nikarud tena kulala.. Mabingwa bana tuna mbwembwee sana kiukwl.

THE NEWWWWWWW REIGNING WORLD CUP CHAMPIONS LA ALBICELESTE[emoji1033]

Vamoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooos[emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033]
 

Messi kawasumbua mabeki makini na hatari hata wao wanakiri Messi ni jini tukianza na Gatusso, Pepe, Ramos, Ferdinand, Vidic, Boateng nknk hao wanamjua Messi vizuri na wanakiri mpaka sasa.
 
Nadhani ungeangalia muda nimepost ..na mchezo ulikuwa Bado kabisa imagine Ni 2 sifuri na nikapatia nikasema watafikia ma penalt na imefika [emoji7]
Huu sio utabiri Bali ni mtazamo,tatizo unatafuta umaarufu jf na kutaka ujulikane kuwa wewe ni mtabiri,watabiri huwa wanatabiri kabla ya tukio kutokea,ulicholeta wewe ni mtazamo.
 
Tutaenda mama tuombe uhai na afya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…