Ramsy Dalai Lama
Senior Member
- Apr 5, 2021
- 156
- 554
Ndio uko sahihi kabisa, anatamba katika dunia ya sasa ambapo kiwango cha mpira kiko chini sana kuliko zama zote katika historia ya soka.Sasa unataka kuanzisha ligi isiyo na maana,hivi kweli unafananisha bahari na bwawa! Messi ni kitu kingine bwana.. ameshinda kila kitu, hebu nipatie tu mchezaji yupi aliechukua makombe kama yote+Ballon d'Or+Man of the match n.k!
Pele alikuwa mchezaji bora duniani akiwa na umri wa miaka 17 hiyo ilikuwa ni mwaka 1958 babu yako akiwa kijana mdogo.Kachukua Ballon d’Or ya kwanza msimu wa 2009-2010 alikua na miaka 22. Au hata Ballon d’Or haufaham ni nini?
Kinachofanya utukane ni nini sasa pumbavuWewe kapuku ndio umruhie mess [emoji16] jinga we
Wakati ule haikuwa kama leo kwani wachezaji wa wakati ule wengi walikuwa na viwango vya hali ya juu na kuwanunua wachezaji kama akina Pele wasingeweza.Hana UEFA
Nani anakudanganya.Hakuna offside
The Brazilian sides that won the world cups in the year 1958, 1962 and 1970 were the star studded sides completely incomparable with the today's squads of many nations.Uongo zamani team nzima wanajua watatu tu wengine wote mitumba
Kweli Mkuu ... Mzuka ulikuwa juu aka vibe...The rest sio takataka boss ila hawana hadhi ya kulinganishwa na Messi kwa sasa.
Mbappe sio takataka ana nafasi iwapo atakuwa na nidhamu na kujituma sababu bado ana miaka 10 ya kuwa uwanjani na tayari ameshabeba kombe muhimu sana, kombe la dunia. Hakuna sababu ya kuwa na ushabiki wa mihemko. Hata Messi mwanzoni hakulinganishwa na Maradona mpaka pale alipofanya aliyoyafanya.
Ulipotelea wapi ndugu, kitambo Sana ,au sababu umebadili profile PCUnajiaibisha tu, huyo mswahili level ya akina alvarez, haland na giroud..
Salut!!!It was messi's glorious sunset but it was also Mbappe's glorious sunrise, no doubt...kama mashabiki wa soccer ilikua ni fair enough kwa Messi kuchukua ili astaafu kwa amani kwasabab pia kaufanyia makubwa mchezo wa mpira.
Adios
Adios
Andamana !!!Mimbeleko FC
Ushindi wa kupangwa,bila hivyo hiki kibabu Kirikou kikongwe kasingetoboa
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ulipotelea wapi ndugu, kitambo Sana ,au sababu umebadili profile PC
Andamana !!!
VAAAAAMOOOOOS ARGENTINA!!!!
Kama kawaida mkuuMoyoni wanamkubi, tena sanaa.. mpappe wao tumemnyoosha na kumuachia funzo kutoka kwa wenye mpira wao
Source?Ronaldo anaenda kucheza soka kule madongo kuinama[emoji16]