BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Mtafutie na ile Dembele amelamba sakafuRais wa FIFA KOLO MUANE akipanga matokeo [emoji16]View attachment 2452452
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtafutie na ile Dembele amelamba sakafuRais wa FIFA KOLO MUANE akipanga matokeo [emoji16]View attachment 2452452
unajua mashabiki wengi wa ronaldo kichwani nati haziko sawa wanakwambia Argentina kabebwa unauliza kabebwa vipi.Gianni Infantino wa FIFA akipiga penalti nje kwa makusudi
View attachment 2452781
Uchawi hauvuki bahari lazima angedondoka juu ya mitumbwiMessi ni mchawi achunguzwe
Na penati mbili mkapewa lakini waaaaaaapi. [emoji1][emoji1]Mimbeleko FC
Ushindi wa kupangwa,bila hivyo hiki kibabu Kirikou kikongwe kasingetoboa
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
[emoji23]Nomaa.. Mabingwa wa dunia sherehe ndo kama zimeanza asee.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1487]
[emoji23][emoji23]poleeeHawa Ajentina hawafiki popote, nawachukiq balaa
Hivi Di Maria hua anapiga stori na washikaji zake kweli, mbona kama ni mpole sana[emoji23]Nomaa.. Mabingwa wa dunia sherehe ndo kama zimeanza asee.
Vamoooooooooos [emoji1033]View attachment 2453121
Ndio uko sahihi kabisa, anatamba katika dunia ya sasa ambapo kiwango cha mpira kiko chini sana kuliko zama zote katika historia ya soka.
Sheria zimekuwa nyingi eti kulinda mastaa, faulo nyingi ambazo enzi hizo adhabu zake zilikuwa ni kadi ya njano siku hizi ni nyekundu.
Huyu Messi enzi za akina Bobby Moore au Franz Berkernbouer asingecheza kabisa mpira, matako yangeota kutu kwenye benchi.
Watoto mliozaliwa kwenye miaka ya tisini hamuwezi kufahamu haya ninayoyasema hapa na kama nasema uongo waulizeni akina Zamoyoni Mogella au akina Sunday Manara kwani bado wapo.
Hivi Di Maria hua anapiga stori na washikaji zake kweli, mbona kama ni mpole sana
Miguu imejaa wino,cancer vp[emoji23]Nomaa.. Mabingwa wa dunia sherehe ndo kama zimeanza asee.
Vamoooooooooos [emoji1033]View attachment 2453121
The Brazilian sides that won the world cups in the year 1958, 1962 and 1970 were the star studded sides completely incomparable with the today's squads of many nations.
Kwahiyo millard ayo wako ndio mkweli! Mashabiki wa ronaldo mnaumia maskini ya mungu.. vumilieni tu.Kama ni marca haishangaz wao kusema hvo tena provided its cr7 wala sishangai,wacha nimsubr fabrizio ndo millard ayo wangu
Sawa wasalime ma ucle wambie mbappe ndio mfungaji Bora wa kombe la Dunia 2022 mana hamkawi kudanganya watoto na uwambie kwamba Messi hili ndio kombe lake Dunia la mwisho
[emoji23]Nomaa.. Mabingwa wa dunia sherehe ndo kama zimeanza asee.
Vamoooooooooos [emoji1033]View attachment 2453121
Wanatapatapa mkuu ni wakuowaonea huruma ndoige waliyopigwa na Messi ni nzito sanaunajua mashabiki wengi wa ronaldo kichwani nati haziko sawa wanakwambia Argentina kabebwa unauliza kabebwa vipi.
😀😀😀unajua mashabiki wengi wa ronaldo kichwani nati haziko sawa wanakwambia Argentina kabebwa unauliza kabebwa vipi.
Mitaa imetapika watu hadi kinyaa