Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022


Kwahiyo yeyote anaemkubali Messi ni mtoto! Nnahakika wewe ni mdogo sana kwangu..hivyo kuwa na adabu mkuu!
 
Sawa wasalime ma ucle wambie mbappe ndio mfungaji Bora wa kombe la Dunia 2022 mana hamkawi kudanganya watoto na uwambie kwamba Messi hili ndio kombe lake Dunia la mwisho

πŸ†πŸ†πŸ†πŸ‡¦πŸ‡·πŸ’ͺ🏽

Mpappe wenu still anaugulia maumivu chawa wa ronaldo huyo.. tena hatakiwi hata kununa mbele ya wenye mpira wao (Laa Seleccion), mbele ya mfalme wa soka LEO10, mbele ya mashabiki kote duniani.. Ni aibu aibu.

Ahsanteni sana Argentina kunipigia hao wafaransa weusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…