Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka unaishaa juisi haijafikaInakuja na vingine[emoji28]
Mexico vs Poland.Saa moja mechi gani sisi wazalendo tuangalie na kizimbuzi chetu cha kizalendo?
Leo nimeona wanaonesha ya saa nneSaa moja mechi gani sisi wazalendo tuangalie na kizimbuzi chetu cha kizalendo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mule mule mm
Nambari one ni Brazil
Argentina
Senegal
Wakifeli hao kufika robo fainal basi ntatafuta timu nyingine ya kushangalia ila sio German na France [emoji38] [emoji38] [emoji38]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwaka unaishaa juisi haijafika
Ndo imewezekana sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Imagine....
Aki haiwezekani...
Labda abebe ndoo ya majiSaudi Arabia anabeba ndoo, nimekaa [emoji117]
Hapana kwa kweli..Ndo imewezekana sasa
Ndoo labda ya plasticSaudi Arabia anabeba ndoo, nimekaa 👉
Hee saa moja hawaonyeshi tena?Leo nimeona wanaonesha ya saa nne
HahahahaHapana kwa kweli..
Siyo kwa Maki...
Kwenye mpira huwa hakuna bahatiNinachojifunza...sometimes luck matters
Mm ndo nilibaki sina kitu kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama mimi WC ya 2018...
Team zangu zote zilitolewa nikajikuta nipo Croatia.
Hee saa moja hawaonyeshi tena?