[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kiko wapi sasaKesho Dunia inaenda kushuhudia Messi akianza safari yake ya kubeba Ubingwa wa Dunia[emoji23]
Hamna jipya mkuu. Sijawaelewa hawaMlioko mbele ya Luninga, mnaionaje Tunisia? au itatulaza na viatu kama Senegal?
Umeona eeehhHalafu hii kufungwa kwa Argentina mapema kutawafanya wajipange watakaokuja mbele wataliwa vichwa
🤣🤣🤣🤣Ila mpira wa simu mtamu sana. Unakuwa unajua kila move. Ingia sasa kilingeni....Badala ya kushuti ufunge eti unataka utoe assist
Rekodi huwa zinatupa matumaini, ebu ngoja tuone kama utabiri huu utatimia.Mwaka 2010 World Cup iliyofanyika pale South Africa, mechi ya kwanza Spain anakufa 1-0 kwa Uswizi lakini alikuja kutwaa ubingwa.
Somo: Never underestimate Argentina
Na mimi yangu itolewe copy kama ushahidi....hamna cha Argentina wala Portugal. Wote watatokaUmeona eeehh
Kama utani hii comment yangu if ifanyieni lamination muitundike paleeeee juuu iwe ushahidi....
Argentina wanaingia nusu fainali
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo ni Leo ya Leo Messi
Baba wa football na chenga za kutisha...
Mwanga wa football
Jamaa mfupi lakini mwenye maajabu yake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12]Oya hali ya messi vipi asee maana leo kuna hatrick yake inamngoja hatakiwi kukosa
Sana aiseeMechi hii imepoa
Wakaze wapate hata hiyo point 1Hamna jipya mkuu. Sijawaelewa hawa