Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #3,521
Itabidi hamna namnaNunueni generator.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itabidi hamna namnaNunueni generator.
Mhhh kwani mbona mapema sana?Kufuatia ushindi walioupata Saudi Arabia mbele ya Argentina, Mfalme wa nchi hiyo ametangaza kesho ni mapumziko
Wao hata wakiishia hatua ya makundi ni mafanikio toshaMhhh kwani mbona mapema sana?
Naombea Argentina aishie makundiArgentina v mexico itakua mechi kali sana
Ndio unajua leo?Hii world cup kwa dstv km huna kifurushi cha compact (56000)
Game utakazoziona ni chache mnoo
Sent using Jamii Forums mobile app
well hajafukuzwa, ila ni mutual termination, UTD na Ronaldo wamekubali kila mtu aende njia yake.amefukuzwa kisa nn??
Naona matatizo yanaamia LondonKutoka kwa Fabrizio Romano: Wakala Jorge Mendes yupo London kufanya mazumgumzo na Todd Boehly wa Chelsea. View attachment 2424358
Nadhani Chelsea wanajua kudeal na wazee si unaona akina koulibally jorginho silva na kina azpi!Naona matatizo yanaamia London
Sasa ronaldo ni mzee mhuni lazma awasumbueNadhani Chelsea wanajua kudeal na wazee si unaona akina koulibally jorginho silva na kina azpi!
Mbona hapo mzee ni Silva na Azpillicueta kidg, wengine hao ni manyokaa badoNadhani Chelsea wanajua kudeal na wazee si unaona akina koulibally jorginho silva na kina azpi!
Amekua jobless kama sie sasa
Akishamaliza mkataba wa club yyt itayomchukua kwa sasa astaafu tu kiheshima mana dah i pity himKutoka kwa Fabrizio Romano: Wakala Jorge Mendes yupo London kufanya mazumgumzo na Todd Boehly wa Chelsea. View attachment 2424358
Ronaldo atafanya makubwa sana hii world cup na Portugal. Ndio maana kabla mashindano hayajaanza nilisema siioni Argentina ya Messi ikifika mbali na hapo hilo kundi lao lishakuwa gumu.Sasa ronaldo ni mzee mhuni lazma awasumbue
Huyu atakwenda Buyern Munich. Maana kule Mane anaumia umia sana. So Ronaldo atawafaa.Kutoka kwa Fabrizio Romano: Wakala Jorge Mendes yupo London kufanya mazumgumzo na Todd Boehly wa Chelsea. View attachment 2424358