raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Na mbele kamalizia na giroud πIbrahim konate upemecano Yani nimazito kama nin sjui kwanin kocha kaamua kuyapanga
Mwana Argentina mwenzangu unaendeleaje.... Maana ilibidi nijitoe kwanza mtandaoni kwa maslahi mapana ya moyo wangu ππNdio wenyewe
π€£Mabingwa watetezi sijui huwa Kuna laana gani inawaandama... Dooh
Ona tofauti hapo.View attachment 2424468View attachment 2424469
π€£π€£π€£π€£π€£Leo Kanjibai anazikusanya tu mamaeee
π€£π€£π€£π€£Hapo kwenye vinyago
Ahsante sana...watu wanaosadikiwa kuwa ni mashabiki wa Ronaldo na Ureno walinishambulia hapaMwana Argentina mwenzangu unaendeleaje.... Maana ilibidi nijitoe kwanza mtandaoni kwa maslahi mapana ya moyo wangu ππ
Mpr mkuu acha tu asa sisi washibiki Lia Lia kaz mno.. Nilijitaid kua hapa walau kujib tuhuma mbili 3 baada ya game lkn nilikua na maumivu makal sana ya kuanza kipigo mapema hii leo.Mwana Argentina mwenzangu unaendeleaje.... Maana ilibidi nijitoe kwanza mtandaoni kwa maslahi mapana ya moyo wangu [emoji23][emoji23]
Bila shaka mkeka unataka kuleta shida hapaFrance ni matako tu
Wape nafasiHeee na France tena. Ngoja nikalale.