Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Mwana Argentina mwenzangu unaendeleaje.... Maana ilibidi nijitoe kwanza mtandaoni kwa maslahi mapana ya moyo wangu [emoji23][emoji23]
Mpr mkuu acha tu asa sisi washibiki Lia Lia kaz mno.. Nilijitaid kua hapa walau kujib tuhuma mbili 3 baada ya game lkn nilikua na maumivu makal sana ya kuanza kipigo mapema hii leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…