raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Na mbele kamalizia na giroud 😃Ibrahim konate upemecano Yani nimazito kama nin sjui kwanin kocha kaamua kuyapanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mbele kamalizia na giroud 😃Ibrahim konate upemecano Yani nimazito kama nin sjui kwanin kocha kaamua kuyapanga
Mwana Argentina mwenzangu unaendeleaje.... Maana ilibidi nijitoe kwanza mtandaoni kwa maslahi mapana ya moyo wangu 😂😂Ndio wenyewe
🤣Mabingwa watetezi sijui huwa Kuna laana gani inawaandama... Dooh
Ona tofauti hapo.View attachment 2424468View attachment 2424469
🤣🤣🤣🤣🤣Leo Kanjibai anazikusanya tu mamaeee
🤣🤣🤣🤣Hapo kwenye vinyago
Ahsante sana...watu wanaosadikiwa kuwa ni mashabiki wa Ronaldo na Ureno walinishambulia hapaMwana Argentina mwenzangu unaendeleaje.... Maana ilibidi nijitoe kwanza mtandaoni kwa maslahi mapana ya moyo wangu 😂😂
Mpr mkuu acha tu asa sisi washibiki Lia Lia kaz mno.. Nilijitaid kua hapa walau kujib tuhuma mbili 3 baada ya game lkn nilikua na maumivu makal sana ya kuanza kipigo mapema hii leo.Mwana Argentina mwenzangu unaendeleaje.... Maana ilibidi nijitoe kwanza mtandaoni kwa maslahi mapana ya moyo wangu [emoji23][emoji23]
Bila shaka mkeka unataka kuleta shida hapaFrance ni matako tu
Wape nafasiHeee na France tena. Ngoja nikalale.