Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Hivi kuna wati walitarajia France atapoteza hii mechi baada ya lile goli la mapema? Yani hata ukiangalia tu uchezaji wa Australia, unaona kabsa hawana team.

Hawa watapigwa hata 5 kabisa.
 
hawa Australia jezi kama ya Yanga
Basi Yanga isivyopenda kusemwa imeamua ijitokeze
Screenshot_20221122-223425.png
 
Hawa australia kuna mistake wanafanya yaani walipopata tu goli moja wakaanza kudefend ni mapema sana
Na kwny mpr ukisha fanya huo ujinga tu tena goal wamepata mapema hlf wanarud nyuma.. Watatafutwa kama nn na watakula nyng France kachafukwa.
 
Back
Top Bottom