Portugal ndio inaongoza Europe kwa kuwa na Team work Mkuu na wanacheza kiteam sana na ndio sababu ya wao kushinda shinda hizi Euro...hata ile 10th June 2016 walipompiga France 1 hawakuwa na wachezaji wa maana ila Team work ndio anayoitegemea Santos
Halafu ukiondoa enzi ya kina Figo hawajawahi kuwa na Timu iliyokamilika yenye wachezaji wenye majina...at least sasahv
Shida ya Portugal kwa miaka yote ni kutokuwa wachezaji wengi (hawana squad kubwa)
Mfano ukisema umtoe Pepe au Ronaldo sababu ya umri utamweka nani wa uhakika kabisa?