choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
Ujerumani wana majina ila kama striker wao ndo huyu Kai Havertz basi ushindi wao ni 1-0Ujerumani je?
Lakini pia ukumbuke timu zinajijenga kadri michuano inavyiendelea. Japo kweli Argentina hana individuals wenye uwezo/majina, wengi wanacheza vilabu vy kawaida sana...kina Emi Martinez.
Sielewii yanNaona unaendelea kusimama na wachezaji wa Chelsea tuu
π₯²π₯² naumwa uchunguu
Kazaeπ₯²π₯² naumwa uchunguu
Naenda kuzalia DohaKazae
Kwa kweli.
Hahahaaaaaa Upendo NdoigeSielewii yan
Me nawapendaga tu
Wabutue ama wabutuliwe π€£
Niko nao
π€£π€£π€£π€£π€£β£οΈβ£οΈ kama kawaidaaaHahahaaaaaa Upendo Ndoige
Kuna Youssoufa Moukoko , ana balaaUjerumani wana majina ila kama striker wao ndo huyu Kai Havertz basi ushindi wao ni 1-0
Portugal ile ya 2016 sio hii, hii ina vipaji vingi sema uchezaji wao ndio wa kawaida, yani performance ya Bruno, Bernado, Cancelo sio kama wakiwa vilabu vyaoPortugal ndio inaongoza Europe kwa kuwa na Team work Mkuu na wanacheza kiteam sana na ndio sababu ya wao kushinda shinda hizi Euro...hata ile 10th June 2016 walipompiga France 1 hawakuwa na wachezaji wa maana ila Team work ndio anayoitegemea Santos
Halafu ukiondoa enzi ya kina Figo hawajawahi kuwa na Timu iliyokamilika yenye wachezaji wenye majina...at least sasahv
Shida ya Portugal kwa miaka yote ni kutokuwa wachezaji wengi (hawana squad kubwa)
Mfano ukisema umtoe Pepe au Ronaldo sababu ya umri utamweka nani wa uhakika kabisa?
Kuanzia leo nakoma.
Humu JF si poa kabisa.
Hiyo bet imeenda na maji.ππππila hana tatizo na mtu. Endeleeni tu na bet yenu
Mm sina mbwembwe. Nasubiria chama la wana kesho saa 4 usiku tuanze safari yetuπ€£π€£π€£π€£π€£β£οΈβ£οΈ kama kawaidaaa
Una team moja tu?Mm sina mbwembwe. Nasubiria chama la wana kesho saa 4 usiku tuanze safari yetu
Huyo mtoto ana balaa zitooKuna Youssoufa Moukoko , ana balaa
Dk ya ngapi?Musiala anafanya attempt matata sana hapa... huyo dogo ni wonder kid aisee