Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Spain ni team nilikuchek tu na utabiri wako kama umevuta bange mbichi
Aisee nilikosea Sana kwenye utabiri,nilizani Spain wanacheza na Croatia ndo nikatabiri ivo, ndo nikajistukia kumbe Ni Costa Rica na Croatia walishacheza mchana.

Anyways, Niko tungi ndo maana unaniona boya😂
 
They're just playing against Costa Rican underdogs,,, wakikutana na Brazil wanaona Cha Moto.
Hii Costa Rica hata Taifa Stars yenu ikikaa vizuri inailabua
No darling...This WC hakuna cha mkubwa wala mdogo. Usipopambana uwanjani unaliwa tu na timu unayoidharau
 
Aisee nilikosea Sana kwenye utabiri,nilizani Spain wanacheza na Croatia ndo nikatabiri ivo, ndo nikajistukia kumbe Ni Costa Rica na Croatia walishacheza mchana.

Anyways, Niko tungi ndo maana unaniona boya[emoji23]
Croatia ilijaa vibabau imekimbizwa mno na Hashraf hakim +zyech
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…