Mbeya Girl
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 298
- 627
Walitakiwa wawe na goli 3 kabisa.Nafasi hawazitumii sana
Bado sio wale Belgium, na wakirudi baada ya half time bado wana kazi nzitoHajatuliaaa eeeh[emoji41][emoji41][emoji1787][emoji1787][emoji1787],kakujib sa
Manyoke CanadaMi ndio nimetia mzigo now kwa Canada nachokonoa meno tu na toothstick hapa
Ee kwa majaribu wanayo fanya hayaWanaweza kurudisha kweli hawa?
Umeona ule Moto wao kumbe hauna madhara😂😂Mtoto yake nepi
Mpira mbovu sana walichezaNiliangalia ndio, Senegal wapo vizuri sana lakini haimaanishi kuwa Nerthelands ni wabovu
Mkuu unatumia 5G amaNimeitest, dk 5 MB 200+ zimesepa
😇Huku sio malavidavi ni mbungi tu weee
Senegal wataishia makundiNiliangalia ndio, Senegal wapo vizuri sana lakini haimaanishi kuwa Nerthelands ni wabovu
Kutoka ZAMBIA [emoji1268] anaitwa Janny SIKAZWERefarii anayechezeaba hii mechi atatoka hoii
Siyo Kwa hii kasi ya Mpira,[emoji119]