Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Ila admin wa tbc...yaani fernando torres bado anacheza soka
F3BC9900-B440-4715-812C-E8BE2A41AB99.jpeg
 
Refarii anayechezeaba hii mechi atatoka hoii
Siyo Kwa hii kasi ya Mpira,[emoji119]
Kutoka ZAMBIA [emoji1268] anaitwa Janny SIKAZWE
Anakumbukwa kwa kumaliza mpira Dk ya 84 baada ya kuongeza muda na kurekebisha akamaliza dk ya 89 [emoji23][emoji23] kwenye AFCON.
Lakini Mwamba yupo Qatar [emoji1203] muda huu.
 
Back
Top Bottom