[emoji1]Unachozungumza ni sahihi kabisaHawa Canada wanacheza utumbo sometimes aanatumia nguvu kubwa kufika karibu na goli, wakifika wanaanza kujikanyaga kanyaga
Wanataka kuvuka ukuta wote wa mabeki ndio wafunge? Kuna sehemu unaona kabisa ni ya kupiga shuti kubwa lakini wao wamekomaa kwenye vyenga
hawa Canada wanapiga mpira nadhan waliobaki watakula kichapoNawaambiaje,
Belgium wanaloga.
Ingekuwa huku kwetu, wachezaji wangetifua chini kutafuta kilichofukiwa.
Belgium ataishia 16 bora endapo atafanikiwa kutoboaNilimeangalia mpira kama dakika kumi ivi beligium Hana timu yakushindana na magiant
Davies kawapoteza wenzake wangeweza pata hata point au kushinda kbs.Hawa Canada wana timu nzuri mno. Wana nguvu, wana pumzi, passing accuracy nzuri, wanakaba kwa pamoja, ila macho yao tu yana makengeza.