Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Kinachoshangaza zaidi mchezaji huyu huyu wa Afrika akiwa ulaya ni tishio

Akirudi africa anakuwa kama michel saporng yule aliyekuwa yanga
Ni bora timu zote zirudi tu. Tunamaliza round ya kwanza hakuna timu ya Africa iliyofunga goli. Sijui kama hao Ghana watafunga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah tuna safari ndefu sana. Ghana huwa anajitutumua pengine anaweza kutufuta machozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajituma?
Najitumaje wakati nchi yangu ye yewe hanithamini mzeya....wee umeona kiwanja alichopewa samatta baada ya kushinda mchezaji bora kwa wachezaji wa ndani? Yaani kweli tulishindwa kumpa mwamba kiwanja masajki na kumjengea jumba la kama millin 500 kwa kututoa kimaso maso
 
Daah tuna safari ndefu sana. Ghana huwa anajitutumua pengine anaweza kutufuta machozi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo lbd tuwasbr The Black stars, wana watu sio kinyonge sana na niliona game yao ya friendly juzi Pa1 ilikua friendly lkn walicheza vzr ngj leo wajipime na Ureno hii yeny majina makubwa lkn muanganyiko sio mzr.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…