Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Hatari sanaMzee Yan izo pass wanazopiga hata [emoji1257] akishinda shughuli kaiona had ss
Wameponea chupuAsee kichwa cha Godin kimepiga chumaa iliku goal kwa [emoji1257]
Ilikua wameloa tyr.Wameponea chupu
Mimi mwenyewe niliteseka sana sipati picha kwa GyanHahaha sema Gyan na yy alizngua San.. Ile Ghana mkuu trust me ilikua inaweza kwnd final sema tu ndo ivo sometimes bht haipo upande wenu. Gyan anakwambia ile penalty imemtesa sana kisaikolojia miaka ming sana anafikiria ilikuaje ikacheza kwny mtambaa panya pale.
Bado Ghana sasa,akipigwa tena basiLeo team za Africa zifunge hata magoal ase.
Akipigwa asee hakuna Team ya Africa itafuzu hata iyo 16 itakua ngum sanaBado Ghana sasa,akipigwa tena basi
☝️☝️Wale timu Serbia tukutane hapa
Nawe una uhakika Ghana atafanya maajabu kwa Ureno au umeamua tu kujilisha upepo?Akipigwa asee hakuna Team ya Africa itafuzu hata iyo 16 itakua ngum sana
Hahaha sema Gyan na yy alizngua San.. Ile Ghana mkuu trust me ilikua inaweza kwnd final sema tu ndo ivo sometimes bht haipo upande wenu. Gyan anakwambia ile penalty imemtesa sana kisaikolojia miaka ming sana anafikiria ilikuaje ikacheza kwny mtambaa panya pale.
Can’t wait game la Ghana aiseee
Moyo wangu bado umejazwa na ile Ghana ya 2010
Yan Senegal na Ghana
Waharibu wasiharibu,, nawapenda tu mimi
Ghana kama uliwafuatilia kwenye kufuzu hawana la maana wanalolijua na tuko hapo. Kama striker wao ni Andrew Ayew na Iniak ambae hata kule La Liga Magoli yake ni ya papatu papatu Tu usitegemee kitu.Akipigwa asee hakuna Team ya Africa itafuzu hata iyo 16 itakua ngum sana
Hata Mimi sidhani Kama ntakujaga kuwasamehe hawa Uruguay aisee[emoji23]Bd una machungu ya Suarez na Ghana sio